EPZA yashawishi China kuwekeza nchini
Wawekezaji kutoka nchini China wameshawishiwa kuwekeza katika maeneo ya Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) yaliyotengwa kwa ajili hiyo katika mikoa mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
EPZA yashawishi China maeneo ya uwekezaji
WAWEKEZAJI kutoka China wameshawishiwa kuwekeza katika maeneo ya Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) ambayo yameshatengwa kwa ajili hiyo katika mikoa mbalimbali. Mkurugenzi Mkuu wa EPZA, Dk. Adelhelm...
10 years ago
MichuziJK AKUTANA NA UONGOZI WA MAKAMPUNI YA CHINA YANAYOTAKA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA RELI NCHINI TANZANIA
10 years ago
MichuziCHINA KUWEKEZA BAGAMOYO
Uwekezaji huo utafanyika baada ya ujio wa baadhi ya viongozi wa Jimbo hilo kutembelea maeneo mbalimbali ya uwekezaji wilayani humo na kuonekana kuvutiwa na sehemu hiyo.
Akizungumza jana mara baada ya kutembelea maeneo kadhaa akiongozana na mkuu wa mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na sekretarieti ya...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
WWF kuwekeza nchini
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) limeamua kuwekeza nchini, ili maliasili zilizopo ziweze kuwanufaisha wananchi na serikali. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi katika uzinduzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wawekezaji 65 kuwekeza nchini
ZAIDI ya wawekezaji 65 wanatarajiwa kuja nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali za maendeleo ikiwemo viwanda na utalii. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alibainisha hayo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s72-c/unnamed+(9).jpg)
pinda akutana na viongozi wa kampuni ya AVIC Group China Civil Aviation inayotaka kuwekeza ATCL
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xEz29Tl7NhI/UvzEpgxIQ7I/AAAAAAAFM6s/P5C5wRvljrw/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4wp21XLCpY/VRHOSfkSVoI/AAAAAAAHM9w/jR1P9CARMn8/s1600/unnamedXX.jpg)
11 years ago
MichuziWANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI
11 years ago
Habarileo22 Jan
Paras India yaonesha nia kuwekeza afya nchini
UJUMBE wa uongozi wa juu wa Shirika la Afya la Paras la nchini India linalomiliki hospitali za ngazi ya kimataifa, umewasili jijini Dar es Salaam jana ambapo pamoja na mambo mengine umeanza mchakato kuwekeza katika sekta ya afya. Ujumbe huo ukiongozwa na Naibu Meneja wa Hospitali hizo anayehusika na Uhusiano wa Kimataifa, Anuradha Sharma, ulipokelewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Yono Auction Mart ambaye ni Mbunge wa zamani wa Njombe Magharibi, Yono Kevela.