CHINA KUWEKEZA BAGAMOYO
Na John Gagarini, BagamoyoJIMBO la Jilin nchini China limekubali kuwekeza hapa nchini kwenye eneo la Uwekezaji la (EPZ) la Kamal lililopo Kijiji cha Kerege kwa Kikwete wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
Uwekezaji huo utafanyika baada ya ujio wa baadhi ya viongozi wa Jimbo hilo kutembelea maeneo mbalimbali ya uwekezaji wilayani humo na kuonekana kuvutiwa na sehemu hiyo.
Akizungumza jana mara baada ya kutembelea maeneo kadhaa akiongozana na mkuu wa mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na sekretarieti ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jun
EPZA yashawishi China kuwekeza nchini
10 years ago
MichuziJK AKUTANA NA UONGOZI WA MAKAMPUNI YA CHINA YANAYOTAKA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA RELI NCHINI TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s72-c/unnamed+(9).jpg)
pinda akutana na viongozi wa kampuni ya AVIC Group China Civil Aviation inayotaka kuwekeza ATCL
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xEz29Tl7NhI/UvzEpgxIQ7I/AAAAAAAFM6s/P5C5wRvljrw/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ym089YeUQUU/VE4BXAR0qkI/AAAAAAACtoQ/DsYH76befMg/s72-c/D92A1326.jpg)
China to Boost Bagamoyo Special Economic Zone
![](http://1.bp.blogspot.com/-ym089YeUQUU/VE4BXAR0qkI/AAAAAAACtoQ/DsYH76befMg/s1600/D92A1326.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Oct
EPZ Bagamoyo yawavutia wawekezaji kutoka China
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Hati ya ujenzi wa Bagamoyo yatiwa saini China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi mbili kubwa za kimataifa jana, Jumapili, Oktoba 26, 2014, zilitiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kuendeleza kwa pamoja Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo ambako pia itajengwa bandari kubwa ya Bagamoyo ambayo inatarajiwa kutoa mchango mkubwa kwa uchumi wa Tanzania.
Pande hizo tatu ambazo ni pamoja na Kampuni ya Uendeshaji Bandari ya China Merchant Holding...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1i51vM7IjLc/XteJcAYy9aI/AAAAAAALsbw/kt3MhNSLZ3YHPhT9uHFD6bzC2V7mlnSvQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0010.jpg)
DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO
Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.
Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...
10 years ago
MichuziMashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo