Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mosoti a Simba player for now: Aveva

Simba Sports Club leadership has said they will continue retaining Kenyan defender Donald Mosoti during this transition period.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mosoti aigomea Simba

Beki Mkenya Donald Mosoti amesema hataondoka Simba mpaka kieleweke kwa kuwa hajui lolote kuhusu kuondolewa katika timu hiyo.

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti to remain at Simba SC

Kenyan defender Donald Mosoti will not be shown the door with Vodacom Premier League (VPL) outfit Simba SC as earlier reported.

 

10 years ago

Mwananchi

Mosoti azuiwa kuondoka Simba

Sakata la beki Donald Mosoti limechukua sura mpya baada ya kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri kuingilia kati, akimzuia kuondoka hadi wakati wa usajili wa dirisha dogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Domayo, Mosoti pengo Yanga, Simba

Mapengo ya Frank Domayo kwa Yanga na Donald Mosoti kwa Simba yameonekana dhahiri mwishoni mwa wiki baada ya timu hizo kuanza vibaya Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti seeks Fifa help over Simba saga

The world football governing body, Fifa, is set to stretch its hand in helping solve the standoff between Donald Mosoti and his former employers Simba SC.

 

10 years ago

Mtanzania

Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.

Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti wins case over Simba, to bag millions

The world governing body, Fifa, through its Dispute Resolution Chamber yesterday ruled that Simba SC pays amount close to or over Sh 23.3 million for breach of contract to their former defender, Donald Mosoti.

 

10 years ago

Mwananchi

Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera amegoma kupokea jezi namba 5 kwa madai kuwa hawezi kuivaa badala ya Donald Mosoti na kutaka atafutiwe namba nyingine.

 

11 years ago

GPL

Aveva historia Simba

Na Waandishi Wetu
SIMBA imeweka historia ya kuwa na kiongozi wa kwanza wa juu ambaye atakuwa akitambulika kwa cheo cha rais na siyo mwenyekiti tena kama ilivyokuwa awali, hiyo ni baada ya Evans Aveva kushinda kwa kishindo katika nafasi hiyo kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo, jana. Aveva amepata ushindi katika uchaguzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiwania nafasi hiyo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani