Pluijm aanza kuchonga
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm ameanza kuchonga kutokana na ushindi waliopata dhidi ya African Sports juzi ambapo amesema umesaidia kuwapa nguvu ya kuendeleza kasi yao katika mechi zinazofuata na kuendelea kubaki kileleni.
Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, juzi waliibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya African Sports katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Bao la pekee lililofungwa dakika za lala salama na kiungo Mzimbabwe,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Christos: Alikesha kuchonga jeneza la Sokoine
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Shy Rose Bhanji ajitolea kuchonga barabara ya Mbweni — Malindi
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao jana.
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2jdzF9AD_U/VNONsNzuMmI/AAAAAAAAaoM/iMotG0w5lyo/s1600/IMG-20150205-WA0093.jpg)
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1JQyyNTFp28/VNONsAltfaI/AAAAAAAAaoI/ialSTnvKg_4/s1600/IMG-20150205-WA0094.jpg)
Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K4xVN3Cn2pA/VNONrzt0Q1I/AAAAAAAAaoE/ETi2XClR8FY/s72-c/IMG-20150205-WA0092.jpg)
MHE. SHY ROSE BHANJI AJITOLEA KUCHONGA BARABARA YA MBWENI - MALINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4xVN3Cn2pA/VNONrzt0Q1I/AAAAAAAAaoE/ETi2XClR8FY/s1600/IMG-20150205-WA0092.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2jdzF9AD_U/VNONsNzuMmI/AAAAAAAAaoM/iMotG0w5lyo/s1600/IMG-20150205-WA0093.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1JQyyNTFp28/VNONsAltfaI/AAAAAAAAaoI/ialSTnvKg_4/s1600/IMG-20150205-WA0094.jpg)