Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm aanza kuchonga

Pluijm1NA OSCAR ASSENGA, TANGA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm ameanza kuchonga kutokana na ushindi waliopata dhidi ya African Sports juzi ambapo amesema umesaidia kuwapa nguvu ya kuendeleza kasi yao katika mechi zinazofuata na kuendelea kubaki kileleni.

Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, juzi waliibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya African Sports katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Bao la pekee lililofungwa dakika za lala salama na kiungo Mzimbabwe,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Christos: Alikesha kuchonga jeneza la Sokoine

 Miongoni mwa Watanzania wenye matukio ya kukumbuka katika uhai na kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, hayati Edward Moringe Sokoine ni George Christos (81)

 

10 years ago

Dewji Blog

Shy Rose Bhanji ajitolea kuchonga barabara ya Mbweni — Malindi

IMG-20150205-WA0092

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao jana.

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.

Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.

 

10 years ago

Michuzi

MHE. SHY ROSE BHANJI AJITOLEA KUCHONGA BARABARA YA MBWENI - MALINDI

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Mhe. Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao leo.  Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi. Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani