Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Y-TONY: KUPANDA JUKWAANI NA JENEZA NI UBUNIFU TU

LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye mwanamuziki Elly Michael Kilema ‘Y Tony’ kijana anayekuja kwa kasi na wimbo wake unaofahamika kama ‘masebene’ anafanya vema sana kupitia staili ya uimbaji wake. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Y-Tony akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wabunifu mbali mbali kupanda jukwaani ‘Lady in red’ Februari 14

Na Andrew Chale WABUNIFU mbali mbali watakaopamba miaka 10 ya onyesho la mavazi lijulikanalo kama ‘Lady in red Super brand, 10th Anniversary’ linalotarajiwa kufanyika Februari 14, tayari majina yao yamewekwa hadharani. Onyesho la mwaka huu linatarajia kufanyika kwenye hoteli ya Serena, jijini Dar es salaam, Februari 14, huku asilimia ya mapato ya fedha hizo zinatarajia kusaidia wathirika wa dawa za kulevya wa kituo cha Kikale Kilichopo Mkoani Pwani.   Akiongea na wandishi wa habari  leo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tony Elumelu Foundation Welcomes 1000 Pan-African Entrepreneurs to $100M Tony Elumelu Entrepreneurship Programme Boot Camp

Pix 12

Founder, The Tony Elumelu Foundation and Chairman, Heirs Holdings Limited, Mr. Tony O. Elumelu, CON;  CEO, Tony Elumelu Foundation, Parminder Vir; during the press conference held in Lagos on Wednesday, announcing the entrepreneurship boot camp for the 1,000 selected Tony Elumelu Entrepreneurs representing all 36 Nigerian states and 51 African countries scheduled for July 10-12 in Ota, Ogun State.

Pix 9

Founder, The Tony Elumelu Foundation and Chairman, Heirs Holdings Limited, Mr. Tony O....

 

11 years ago

GPL

BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA!

Stori: Mwandishi Wetu, Songea
Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano...

 

10 years ago

GPL

CHUCHU AZIRAI NDANI YA JENEZA

IMELDA MTEMA/Amani HII ni kali ya mwaka! Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu, Amani limeinyaka. Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans akiwa kwenye jeneza. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Apokezwa jeneza lenye mzoga wa Paka

Familia ya afisaa mmoja wa Elimu nchini Kenya imeshangazwa kwa kupata jeneza dogo likiwa limewekwa nje ya mlango wao mjini Kisumu

 

11 years ago

Mwananchi

Christos: Alikesha kuchonga jeneza la Sokoine

 Miongoni mwa Watanzania wenye matukio ya kukumbuka katika uhai na kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, hayati Edward Moringe Sokoine ni George Christos (81)

 

10 years ago

GPL

LADY JAYDEE AJICHAGULIA JENEZA LA PILI

Mwandishi wetu
Uchuro? Baada ya kutundika mtandaoni kwa mara nyingine picha za jeneza alilojiandalia litakalotumika siku akiaga dunia, mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide, amelaaniwa vikali na mashabiki wake kwa kitendo hicho. Mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide. ABADILI RANGI
Mwaka 2012, Jide alitupia mtandaoni picha za jeneza lake lenye mchanganyiko wa rangi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza

Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu imemhukumu Bahati Lukas (25) kifungo cha nje miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa jeneza.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale: Chuchu Azirai Ndani ya Jeneza!

Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza nafasi ya mwanakwaya naye alipoteza fahamu wakati kipande hicho kikirekodiwa.

Chanzo kimoja kutoka ndani ya kundi la wasanii waliokuwa wakiigiza filamu kililiambia Gazeti la Amani  kuwa, Chuchu alikumbwa na hali hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani