BIBI KIZEE ATAJWA GHARIKA KAHAMA
![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRuXzAl-pfFh-onLsE-lJDQgSDMi0z1TwT*UF5HsThA6b6rky8pzAukwStl-ovXtYo08kN3xpCURWjuamtQVLae/BAKUWAZI.jpg?width=650)
Na Issa Mnally, Kahama MENGI yamesemwa na yanaendelea kusemwa kufuatia mvua kubwa iliyonyesha wilayani Kahama, Shinyanga na kuua watu 45 huku wengine 92 wakijeruhiwa, achilia mbali waliopoteza makazi yao. Habari za hivi karibuni zinadai kuwa, mvua hiyo licha ya kutabiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) lakini wakazi wa maeneo hayo wanaamini ina mkono wa bibi kizee ‘kikongwe’ mmoja ambaye hakutajwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM25 Jun
BIBI KIZEE AUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, KAHAMA
Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina.Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea leo majira ya saa tatu asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa Bundala kusaidia kuanika Dengu.
Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSlq*9Uvgu-Sbs6AT4GSqYwcv9u-wsplvn9RGqrBBLnTblaCjx9Ccv-2xeFS93f6zYlcEblSaPTHu-zLjO8XoXX/bibi.jpg)
BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA!
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Bibi kizee aanguka akiwa anasafiri angani
Na Kadama Malunde, Shinyanga
KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina.
Akielezea tukio hilo jana, Mwandu alisema lilitokea nje ya nyumba ambapo alishangazwa kumkuta...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDObF*Re82R8Ck89kZezXYbEByWCwdDx95p1AjSyktucdvrdQ*2kzsglSXTQHkdH2wTroXuzb6g70XxDCe4yRAs/3.jpg?width=650)
MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Kizee chauawa kwa kudaiwa mchawi, India
10 years ago
Habarileo09 May
Maafa zaidi ya gharika Dar
MAAFA zaidi yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha kwa zaidi ya saa 48 mfululizo jijini Dar es Salaam, yameendelea kutokea ambapo mbali na vifo vya watu watano, mamia ya nyumba zimefunikwa na maji.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Y4ZlF5bJlrg/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Ni gharika kwa watu zaidi ya 50 sakata la Escrow
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SIAhrqae7UI/VfcBNV-1s-I/AAAAAAAC_JY/h-D5KV5c22c/s72-c/_MG_6463.jpg)
GHARIKA YA Dkt MAGUFURI MJINI TABORA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-SIAhrqae7UI/VfcBNV-1s-I/AAAAAAAC_JY/h-D5KV5c22c/s640/_MG_6463.jpg)