Ivan bado anampenda mno Zari, asema mpambe wake (Picha)
Anaishi maisha ya kifahari, ni tajiri, anamiliki magari ya gharama kubwa, ana mijengo, biashara kibao na ana uwezo wa kumpata msichana yoyote anayemtaka kwa kutumia nguvu ya utajiri wake, lakini Ivan bado hajamsahau Zari the Bosslady aliyezaa naye watoto watatu wa kiume. Kwa mujibu wa mpambe wa King Lawrenc, Ivan ambaye ni raia wa Uganda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Dec
It’s All Love: Ivan ahudhuria White Party ya ex wake Zari, Diamond aikacha (Picha)
![12353812_1151509724878786_161931566_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12353812_1151509724878786_161931566_n-300x194.jpg)
Wana watoto watatu pamoja na wana biashara kibao za pamoja, hivyo ni ngumu kwa Zari na mume wake wake wa zamani, Ivan kupotezeana licha ya kila mmoja kuchukua njia yake kimahusiano.
Ivan na jamaa zake wa Rich Gang wakila bata kwenye Zari All White Party
Ndio maana Ivan na mpambe wake King Lawrenc walisafiri kutoka SA na kwenda kumuunga mkono Zari ambaye Alhamis hii aliandaa party yake ya kila mwaka ya mavazi meupe tu kwenye kiota cha Guvnor kilichopo Kampala Uganda.
Ivan alionekana...
10 years ago
Bongo508 Feb
Jino kwa Jino? Ex wa Zari ala bata na Wema South, mpambe asema ‘What goes around comes around (Picha)
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
9 years ago
Bongo529 Oct
Faiza akiri kuwa bado anampenda baba wa mtoto wake Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi
9 years ago
Bongo514 Aug
Huu ndio mpango wa ex wa Zari na mpambe wake wa kutaka kuharibu furaha ya ujio wa Tiffah
9 years ago
Bongo Movies30 Oct
Baada ya Yote, Faiza Kathibitisha Bado Anampenda ‘Sugu’
Aliyekuwa mpenzi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi, Faiza Ally ameamua kuweka wazi kuwa japokuwa wamegombana na mzazi mwenzake lakini bado anampenda na kumthamini.
Kupitia kwenye akaunti yake wa instagram amepost picha ya Sugu na kuandika
“Alie kwambia simpendi nani ???? Nampenda ndio maana nili zaa nae na sio lazima nilale nae na kuamka nae ndio mjue nampenda – unaweza unampenda mtu kwa mbali na bado ukasimama kwenye ukweli tu – kwa mimi that’s true love – oh yes...
9 years ago
Bongo518 Aug
Zari The Bosslady awajibu Ivan na King Lawrenc, ‘visasi hufanywa na vilaza’
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VyFYlmgdi2c/VLkKnJC5P0I/AAAAAAAAHvw/iai9yenkBmE/s72-c/Zari%2Band%2BIvan.jpg)
Ivan Ssemwanga Surprised to Find Out That Ex-Wife Zari Hassan is Pregnant With Another Man
![](http://1.bp.blogspot.com/-VyFYlmgdi2c/VLkKnJC5P0I/AAAAAAAAHvw/iai9yenkBmE/s640/Zari%2Band%2BIvan.jpg)
Ivan’s comment’s came after Zari’s new boyfriend, Diamond Platnumz revealed that one of the women in his life was pregnant sharing a scan showing an...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s72-c/s1.jpg)
SIMBACHAWENE AMUAGA MPAMBE WAKE ALIYEMALIZA MUDA WAKE KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s1600/s1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO15na99VMw/XsQ6hToLEFI/AAAAAAALq2A/AuVYcDHme90zKRmJQ4n8AwjDoo-JsGKugCLcBGAsYHQ/s1600/s2.jpg)