MBUNGE WA KAWE CHADEMA ALALA SEGEREA BAADA YA KUSHINDWA MASHARTI YA DHAMANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dY6WKX8SZH0/U_7VSVTiZhI/AAAAAAAAMeg/gSYzwuuCaQA/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee na wenzake tisa wamepelekwa katika Gereza la Segerea jijini Dar baada ya kushindwa kutimiza baadhi ya masharti ya dhamana yao.
Mdee na wenzake nane mapema leo walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar na kukana tuhuma zinazowakabili.Mdee na wenzake hao wanashitakiwa kwa makosa mawili kototii amri za maofisa wa polisi na kufanya maandamano kinyume na sheria Jumamosi iliyopita ya Oktoba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Halima Mdee akosa dhamana, alala Segerea
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s72-c/IMG-20150826-WA0014.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha alipoachiwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s640/IMG-20150826-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G30ZG8WdwaA/Vd3QIR9KQXI/AAAAAAADXPk/LdC5jkziSIU/s1600/mashaaa_.jpg)
Masha alifikishwa mahakamani hapo jana...
9 years ago
VijimamboSIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.
BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE AZINDUA KITABU CHA UTEKELEZAJI AHADI ZA JIMBO LA KAWE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s72-c/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s640/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Chid Benz akosa dhamana, asota Segerea
MKALI wa Muziki wa Hip Hop nchini, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ jana ameswekwa rumande Segerea, kwa kushindwa masharti ya dhamana, baada ya kupandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa...
10 years ago
MichuziCHEDI BENZI AKOSA DHAMANA, KUSOTA SEGEREA HADI NOVEMBA 11, 2014
Msanii wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-y3xZqKJye6bIrMvNvLYcMHKx1NH0Cs4J3cKvKsEhxZ0PvCs37wy-DamVtrxge6sc8Aw3rEBNIOAZd3RJ5z73Hx/ImageProxy1.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOMBE ALALA ZAHANATI YA MBONGO WANANCHI WAFANYA SHEREHE