MBUNGE FILIKUNJOMBE ALALA ZAHANATI YA MBONGO WANANCHI WAFANYA SHEREHE
![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-y3xZqKJye6bIrMvNvLYcMHKx1NH0Cs4J3cKvKsEhxZ0PvCs37wy-DamVtrxge6sc8Aw3rEBNIOAZd3RJ5z73Hx/ImageProxy1.jpg)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akikabidhiwa zawadi ya mfano wa Mtumbwi na wananchi wa Mbongo Ludewa Wananchi wa Mbongo wakimsalimu mbunge wao Deo Filikunjombe baada ya kufika kijijini hapo na kulala katika zahanati ya kijiji hicho WANANCHI wa kijiji cha Mbongo wilaya ya Ludewani mkoani Njombe wakesha usiku kucha kufurahia mbunge wao Deo Filikunjombe kuwa kiongozi wa kwanza toka nchi ipate uhuru mwaka 1961… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMBUNGE MGIMWA APIGANIA UMEME KALENGA, WANANCHI WAKE WAMPONGEZA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dY6WKX8SZH0/U_7VSVTiZhI/AAAAAAAAMeg/gSYzwuuCaQA/s72-c/1.jpg)
MBUNGE WA KAWE CHADEMA ALALA SEGEREA BAADA YA KUSHINDWA MASHARTI YA DHAMANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dY6WKX8SZH0/U_7VSVTiZhI/AAAAAAAAMeg/gSYzwuuCaQA/s1600/1.jpg)
Mdee na wenzake nane mapema leo walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar na kukana tuhuma zinazowakabili.Mdee na wenzake hao wanashitakiwa kwa makosa mawili kototii amri za maofisa wa polisi na kufanya maandamano kinyume na sheria Jumamosi iliyopita ya Oktoba...
10 years ago
GPLWANANCHI LUVUYO NA MBUNGE WAJENGA BARABARA YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 52
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0im5XrYR-po/XkwQYLEhSbI/AAAAAAALeF0/Uu3ZyBNrG_oF5dEfkHgNP9JEkpTPPzl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI
Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.
Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Kweli Mbunge Filikunjombe, anafaa kuigwa?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s72-c/2G2A0691.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOMBE AKIPIGA KAZI LUDEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s640/2G2A0691.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pu1fV-ETjws/VVsJ4jGjZJI/AAAAAAAC4ro/P7G5wMTHbTQ/s640/2G2A0709.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bkn2GKf6ylE/VVsJ3Y-bV_I/AAAAAAAC4rg/W-7PN0kPeF4/s640/2G2A0748.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-myMSBU9RMCY/Xq_tIsX2DLI/AAAAAAABMCk/2_vPIzrZUYEWmF6qmV-8JVX-QuJEXNf0QCLcBGAsYHQ/s72-c/95369533_881795262337749_7986312861653663744_o.jpg)
MBUNGE MWAKANG'ATA WA RUKWA AKABIDHI MSAADA WA VIFAA TIBA ZAHANATI YA MAJENGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-myMSBU9RMCY/Xq_tIsX2DLI/AAAAAAABMCk/2_vPIzrZUYEWmF6qmV-8JVX-QuJEXNf0QCLcBGAsYHQ/s400/95369533_881795262337749_7986312861653663744_o.jpg)
9 years ago
Eatv![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-0/s130x130/10449466_1343764422304639_2677089235026161154_n.jpg?oh=0c6a49588b4f31dba6f47d306669bd4d&oe=568AA299&__gda__=1456597857_adc11ee2aeaa30c64b03d35caf373139)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10