Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dorothy Masuka kuja ZIFF

Dorothy-Masuka

Mwimbaji gwiji wa nyimbo zilizowakera wazungu wakati wa ubaguzi Afrika ya Kusini Dorothy Masuka anatarajiwa kuzuru Tanzania akiwa mgeni wa tamasha la Nchi za Jahazi ZIFF. Mwimbaji huyo anatarajiwa kutuwa Zanzibar tarehe 17 Julai tayari kwa ufunguzi wa Tamasha la ZIFF litakaloanza tarehe 18 Julai.

“Ni furaha ilioje kwa Mama Dorothy Masuka kukubali kuja ZIFF. Hii inatudhihirishia wazi umuhimu anaoweka katika sanaa na uwezo wa sanaa katika kuisanifu jamii”, alisema Mkurugenzi wa ZIFF Profesa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015

Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani katika shoo yake usiku wa Julai 19, katika tamasha la 18, la ZIFF 2015,Ngome Kongw upande wa Mambo Club. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com-Zanzibar)Gwiji wa muziki Afrika, Bi Dorothy Masuka akiimba pamoja na Mtanzania, Sauda Simba wakati wa shoo hiyo..Bi. Dorothy Masuka akiimba huku akisikilizia ala za gitaa kutoka kwa mpga gitaa wake..Picha ya juu na chini wakiaga mashabiki…..Wakiaga...

 

10 years ago

Dewji Blog

Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015

DSC_0266Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka  akiwa jukwaani katika shoo yake usiku wa Julai 19, katika tamasha la 18, la ZIFF 2015,Ngome Kongw upande wa Mambo Club. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com-Zanzibar)

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Zanzibar) Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka kutoka Afrika Kusini ambaye pia anatamba na wimbo wa ‘Hapo zamani’ usiku wa Julai 19 ameweza kukonga nyoyo za wadau wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ziff- Weekend Of Film & Music To Close Ziff 2014

offical-selection-2014

To close out the 17th edition of the Zanzibar International Film Festival, some of Africa’s musical legends will be performing whilst top filmmakers from around the world are awarded for their work.

On Saturday June 21st, ZIFF and our partners will award filmmakers for a range of achievements – these awards include:

The SIGNIS Awards

ZUKU Swahili Awards

ZIFF Awards

East African Talent

Sembene Ousmane Awards

The ZIFF jury awards Golden Dhows for films in the following categories:

-      ...

 

10 years ago

Michuzi

ZIFF ANNOUNCES NEW COMPETITION AT ZIFF 2015 — EAST AFRICAN MUSIC VIDEO AWARDS


 In response to a rising groundswell of requests and recognizing the role and place ZIFF has in developing the film and creative industries in Tanzania and east Africa ZIFF has today announced the ZIFF East African Music Video Awards Competition. The Awards are managed in collaboration with Push Mobile Media Limited.

The Award aims to highlight the link between film and music as well as support the growing music video production industry in the region.

Music Video Production houses are...

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

11 years ago

TheCitizen

ZIFF: The 17 Years can justify ZIFF’s relevance

>After nine days of fanfare and film viewing at the 17th edition of the Zanzibar International Film Festival, curtains finally rolled down with the Awards Ceremony at the Ngome Kongwe Amphitheatre, Zanzibar.

 

10 years ago

Dewji Blog

ZIFF has announced a new competition at ZIFF 2015

ZIFF Logo

ZIFF MUSIC VIDEO COMPETITION.docx 

 

10 years ago

Michuzi

MUSIC AND FILM COMBINE AT ZIFF 2015 / ZIFF ANNOUNCES CLOSING FILM



 Monday was a special day at ZIFF 2015, with a unique and memorable day of film and music in perfect harmony. July 20th saw the screening of the Moussa Diallo biopic, Sound Tracks of Life Moussa Diallo – followed by a live performance from Moussa Diallo himself. The film screening was introduced by Diallo himself, and filmmaker Helle Toft, who elaborated on the personal yet universal themes in the film; reconciliation and forgiveness. Diallo’s story may be unique, having left Mali at age 17...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani