Doroth Masuka: Wasanii wa Afrika tujivunie Afrika yetu
NA FESTO POLEA
MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Afrika Kusini, Dorothi Masuka, amewataka wasanii wanaotoka nchi za Afrika wasisahau kusifia bara lao la Afrika kwa kutaja majina ya nchi wanazotoka tu.
Mkongwe huyo aliliambia MTANZANIA kwamba, wasanii wengi huwa wanatumia muda mwingi kutangaza majina ya nchi zao wanasahau kuitangaza Afrika ili kuimarisha mshikamano wa umoja na utaifa wao.
“Ukiwa Afrika unatakiwa kujivunia na kujitangaza sisi sote ni wasanii kutoka Afrika, kwanini huwa hatujinadi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015
Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani katika shoo yake usiku wa Julai 19, katika tamasha la 18, la ZIFF 2015,Ngome Kongw upande wa Mambo Club. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com-Zanzibar)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka kutoka Afrika Kusini ambaye pia anatamba na wimbo wa ‘Hapo zamani’ usiku wa Julai 19 ameweza kukonga nyoyo za wadau wa...
10 years ago
Vijimambo20 Jul
Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0266.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0336.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0362.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0388.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0391.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0395.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNU7gf9efZRz7g2WWzrGYwurpLP-pZg9Mf1EkOaClNezzQwWHE0Phaxh8UgyvdhaX4mZJdazxpbQUQ0pnwik0itG/wasanii1.jpg?width=650)
WASANII 7 MATAJIRI AFRIKA
10 years ago
GPLWASANII AFRIKA MASHARIKI KUNUFAIKA NA EALLYWOOD
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Wasanii Afrika Mashariki kutengewa saa moja ya MTV Base
JULIET MORI (TUDARCO)
KITUO cha MTV Base kimezindua kipindi kipya kitakachokuwa kikishughulika na wasanii wa Afrika Mashariki kwa kuwahoji na kujua mazingira wanayokutana nayo katika kazi zao kwa ujumla.
Mtandao wa Ghafla Kenya umeeleza kwamba kipindi hicho cha saa moja kitaangalia zaidi maisha ya msanii kiundani na namna anavyoweza kupata kitakachoangalia maisha ya msanii kwa kumtambulisha kiundani, namna anavyoweza kupata mafanikio na aina ya muziki anayofanya.
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
LUPITA NYONG’O: Mfano kwa wasanii wa kike Afrika Mashariki
KESHO ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani, mwanadada msanii mwenye asili ya Kenya, Lupita Nyong’o, anaisherehekea kwa furaha ya aina yake, kutokana na mafanikio ya kutwaa tuzo kubwa yenye umaarufu...
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Bushoke: Wasanii wengi wanaoenda Afrika Kusini wanabeba madawa ya kulevya
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/wwf09xtoQHU/default.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ANAVYOLINGANISHWA NA WASANII WENGINE AFRIKA KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE
![Diamond Platnumz akishangazwa na wazalishaji wake wa muziki nyumbani kwake](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/1571F/production/_112893878_capture976.png)
CHANZO CHA PICHA,WCB_WASAFIDiamond Platinumz alishangazwa na wazalishaji wake wa muziki wiki iliopita walipoingia katika nyumba yake na keki iliokuwa na nembo ya kuadhimisha hatua muhimu ya nyota huyo wa Tanzania.Huku akipigwa picha akivalia nguo , mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 30 aliambiwa na kundi lake kwamba ndiye msanii wa kwanza katika jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika chaneli ya Youtube.Ruka Instagram ujumbe, 1
Mwisho wa Instagram ujumbe, 1
![Presentational white space](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/94C2/production/_109028083_1px_white_line-nc.png)