WASANII 7 MATAJIRI AFRIKA
![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNU7gf9efZRz7g2WWzrGYwurpLP-pZg9Mf1EkOaClNezzQwWHE0Phaxh8UgyvdhaX4mZJdazxpbQUQ0pnwik0itG/wasanii1.jpg?width=650)
Baada ya wiki iliyopita kuwaletea marais ambao watoto wao nao wameshika nafasi hiyo katika nchi zao, leo nakuletea wasanii saba matajiri Afrika. Youssou N’dour: Mkongwe toka Senegal, aliyezaliwa mwaka 1959, ndiye tajiri kwa wanamuziki wa Afrika, akimiliki chombo cha habari kikubwa nchini mwake, ni mwimbaji, mtunzi mwigizaji, mfanyabiashara na mwanasiasa, aliwahi pia kuwa Waziri wa Utamaduni na Maliasili nchini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqJQ6ZpBHfE5Bkp-CbiZZZo2k5LL8ejpnNGf9LXxyO0qWYppy16bFCbX4Zdj7f8iTnlO-kehxRKLQFOgpxS5H-Il/ooooooooooooo.jpg?width=650)
MARAIS 9 MATAJIRI AFRIKA
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Matajiri 50 wanaoongoza Barani Afrika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOiDt5q*nQ5PS4JvllAH3hzebwfebbQS39y0rbRftPOp6qup71KRBj-wkiAyz*LBgLDPdknvvOV9Nlj0KWrmJLsP/AlikoDangote.gif?width=650)
NIGERIA; KISIMA CHA MATAJIRI AFRIKA
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Hii ndio list mpya ya wanasoka kumi wa Afrika matajiri 2015 ….
Headlines za mishahara yao mikubwa wanayolipwa katika soka najua umeshaizoea kwa sasa mtu wangu, katika pita pita zangu mtandaoni nikakutana na list mpya ya wanasoka matajiri barani Afrika, katika list hii hakuna sura ngeni sana bado watu wameendelea kumiliki utajiri wao kama kawaida. List hii inaoongozwa na Samuel Eto’o jamaa ambaye amewahi kutwaa tuzo ya […]
The post Hii ndio list mpya ya wanasoka kumi wa Afrika matajiri 2015 …. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Doroth Masuka: Wasanii wa Afrika tujivunie Afrika yetu
NA FESTO POLEA
MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Afrika Kusini, Dorothi Masuka, amewataka wasanii wanaotoka nchi za Afrika wasisahau kusifia bara lao la Afrika kwa kutaja majina ya nchi wanazotoka tu.
Mkongwe huyo aliliambia MTANZANIA kwamba, wasanii wengi huwa wanatumia muda mwingi kutangaza majina ya nchi zao wanasahau kuitangaza Afrika ili kuimarisha mshikamano wa umoja na utaifa wao.
“Ukiwa Afrika unatakiwa kujivunia na kujitangaza sisi sote ni wasanii kutoka Afrika, kwanini huwa hatujinadi...