Bushoke: Wasanii wengi wanaoenda Afrika Kusini wanabeba madawa ya kulevya
Kama ulidhani Watanzania waishio nchini Afrika Kusini wana kazi na maisha mazuri, basi ulikosea kwani kama huna elimu ya kutosha ukaamua kuzamia nchini humo ni lazima utaishia katika mikono isiyo salama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7eSrINH3cgM/VPc2Y3VzKRI/AAAAAAAHHuw/SVUFJFXyBhE/s72-c/UN%2B(2).jpg)
AFRIKA KUSINI YATAJWA KUWA NA NJIA NYINGI ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
Imeelezwa kuwa nchi ya Afrika Kusini katika bara la Afrika ndio inayoongoza kwa kuwa na njia nyingi za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Cocaine na Heroine .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Habari wa Kituo Cha Habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC),Stella Vuzo alisema kuwa hilo limetokana na ripoti ya Bodi ya Kupambana na Dawa za Kulevya ya Umoja wa Mataifa imeweka mkazo katika kwa nchi mwanachama kuweka mikakati katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jg0wNQVSgfU/U4BdHWXDFHI/AAAAAAAFkuM/dc3sRMKFZRo/s72-c/20140524_102810.jpg)
wengi wajitokeza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jg0wNQVSgfU/U4BdHWXDFHI/AAAAAAAFkuM/dc3sRMKFZRo/s1600/20140524_102810.jpg)
9 years ago
Bongo530 Dec
Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi
![Adam Jumaa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/Adam-Jumaa-300x194.jpg)
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.
Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.
“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMv*3iQpf8cw0pGkPm*LoK6WyWGplekB9DBRwgQThCXXRu1riPiQ9sKitsz3lbxyWDmz5Cx2lCb2*9Jco5qtc3b/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Jerry Silaa awaaga watumishi wa Manispaa ya Ilala wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk Agatha Shinyala na Dk Mary Machemba wa Amana Hospitali. Nyuma ya Meya ni Afisa kutoka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPdxyRBWLz8suuLHbM1a0JP7BcKJvqx2nCd9UGqKRdCmTWrvhS1CJXKAFd83K-7viS4sQqvVcrr0*wsuFt3ThRP/madawa.gif)
MADAWA YA KULEVYA, CHONJI HALI TETE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s72-c/IMG_20140804_104051.jpg)
MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s1600/IMG_20140804_104051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LfTgY5PqvGc/U-HonScSd-I/AAAAAAAF9gM/redNleJVfvc/s1600/IMG_20140804_104207.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...