MADAWA YA KULEVYA, CHONJI HALI TETE
![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPdxyRBWLz8suuLHbM1a0JP7BcKJvqx2nCd9UGqKRdCmTWrvhS1CJXKAFd83K-7viS4sQqvVcrr0*wsuFt3ThRP/madawa.gif)
HALI tete, siku chache baada ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Muharani Mohammed Abdallah, maarufu kama Chonji kukamatwa na kutupwa gerezani kwa tuhuma za kukamatwa na dawa kulevya, sasa mali zake zimeanza kuchunguzwa. Mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Muharani Mohammed Abdallah, maarufu kama Chonji(mwenye suti), akiwa chini ya ulinzi. Vyanzo vyetu makini kutoka jeshi la polisi zinasema kuwa mali...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-icrqdeL2r9I/VGYWg7imT0I/AAAAAAAGxNQ/jODPZVOqwU4/s72-c/IMG-20141114-WA0009.jpg)
Mh. Lukuvi atoa taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-icrqdeL2r9I/VGYWg7imT0I/AAAAAAAGxNQ/jODPZVOqwU4/s1600/IMG-20141114-WA0009.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge),Mh. William Lukuvi akisoma taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013,wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari (hawapo pichani) Mjini Dodoma leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GMOuyf_y9mU/VGYWcQr1FrI/AAAAAAAGxNA/QgqTMwe29JM/s1600/IMG-20141114-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JjQE6sSs5LM/VGYWex8Tq6I/AAAAAAAGxNI/e1bLOJRdU7o/s1600/IMG-20141114-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w_H_dbF_Cf4/VGYSlPfWgHI/AAAAAAAGxLw/uoFCtYLbhww/s1600/IMG-20141114-WA0004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fc6CFYNxaVw/VGYSmsXiHkI/AAAAAAAGxL4/XDdmJ8_qs3I/s1600/IMG-20141114-WA0007.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMv*3iQpf8cw0pGkPm*LoK6WyWGplekB9DBRwgQThCXXRu1riPiQ9sKitsz3lbxyWDmz5Cx2lCb2*9Jco5qtc3b/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
10 years ago
Mtanzania14 May
HALI TETE BURUNDI
Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
JARIBIO la mapinduzi lilifanyika jana nchini Burundi kumpindua Rais Pierre Nkurunzinza kupinga mpango wake wa kugombea urais kwa muhula wa tatu.
Maelfu ya watu walimiminika katika mitaa ya mji mkuu wa taifa hilo, Bujumbura, kushangilia tangazo la mapinduzi lililotolewa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Hata hivyo, matokeo ya mapinduzi hayo yalikuwa mbali na uhalisia.
Uamuzi wa Jenerali Niyombareh ambaye alitimuliwa na Nkurunzinza kama mkuu wa usalama...
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Hali tete Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
HALI ya usalama visiwani Zanzibar imechafuka baada ya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), kuvamiwa na kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kutokana na vurugu hizo, watu 25 waliokuwa wakitokea katika mkutano wa CUF uliokuwa unafanyika Makunduchi, Wilaya ya Kusini Unguja wamejeruhiwa, huku wanne kati yao wakilazimika kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
hali tete TanzaniteOne -2
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene mwishoni mwa wiki (Ijumaa iliyopita) alifanya zi
Paul Sarwatt
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Hali tete TanzaniteOne
HALI ya mambo si shwari ndani ya kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite ya TanzaniteOne, iliyo
Paul Sarwatt