Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU YAHYA KIYABO ACHUKUA JIKO

 Maharausi wakikata keki kuashilia upendo katika hafla  iliyofanyika katika Ukumbi wa Danken House,Mikocheni jijini Dar es Salaam, Bwanaharusi Yahaya Kiyabo akimlisha keki Biharusi,Aisha Kirapo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken  House,Mikocheni Jijini Dar es Salaam,   Biharusi,Aisha Kirapo akimlisha keki Bwanaharusi Yahya Kiyabo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken ,Mikocheni Jijini Dar es Salaam, Bwanaharusi Yahya Kiyabo akiwakabidhi baadhi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MDAU EMMA BARNABAS ACHUKUA FOMU KUWANIA UDIWANI KATA YA KIPAWA

 Kada wa chama cha mapinduzi Emmanuel Barnabas Maro anayewania kuteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya udiwani katika kata ya Kipawa wilayani Ilala jijini Dar akionesha fomu alizokabidhiwa leo na Katibu wa CCM wa kata ya Kipawa Amina Sebo hayupo pichani.

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Alfred Martin Elia achukua fomu ya kugombea ujumbe wa kamati ya utendaji wa Simba Sports Club

Mdau Alfred Martin Elia akipokea fomu ya kugombea ujumbe wa kamati ya utendaji wa Simba Sports Club toka kwa Bw. Khalid Kamuguna. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwisho wa mwezi juni mwaka huu"

 

9 years ago

Michuzi

KIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM

 Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Natu Mwamba akizungumza katika mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Mhitimu wa Cheti ya Cha Juu katika Masuala ya Benki,Yahya Kiyabo akitunukiwa cheti na   Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Natu Mwamba  wakati mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Naibu Gavana wa Benki Kuu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aangukiwa na ukuta wa jiko

MTOTO Grace Zefania (9), amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la jiko la Kanisa la Calvary Oysterbay Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30...

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murry apata jiko

Mwishoni mwa wiki hii, kulikuwa na shamra shamra kwa mcheza tenis maarufu ulimwenguni Andy kupata kumvika pete mpenziwe Kim.

 

11 years ago

Michuzi

JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI

Mwananchi juu ya paa la nyumba ya mtu mmoja maarufu kwa jina la Mama Mayunga, akijaribu kurusha vifuko vya mchanga katika moja ya majengo ya nyumba iliyozuka moto Jana majira ya saa 5 asubuhi mtaa wa Majengo jirani na Masangwa Guest House wilayani Misungwi mkoani Mwanza.  Moto huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na kuiteketeza kabisa nyumba hiyo ikiwa na furniture zake. Huku baadhi yao wakiwa wamejitosa kufanya uokoji wa mali, wananchi wengine kama...

 

10 years ago

Vijimambo

ALLY BAKARI CHAMPION ACHUKUWA JIKO

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaamAlly Bakari Champion akiozeshwaRefarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

 

9 years ago

BBC

Yahya's luck

How a runaway from West Africa got lucky in Europe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani