Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALLY BAKARI CHAMPION ACHUKUWA JIKO

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaamAlly Bakari Champion akiozeshwaRefarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion afunga ndoa

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion  akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam
Ally Bakari Champion akiozeshwa
Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

 

10 years ago

Michuzi

PINDA ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baada ya kuchukuwa   fomu ya kuwania uteuzi wa CCM  ili awe mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao  kwenye ofisi kuu ya CCM mjini Dodoma. Kulia ni mkewe mama Tunu PindaSehemu ya wageni wakimsikiliza Mhe Pinda  wakati alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukuwa fomu ya kuwania uteuzi wa CCM  ili awe mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao  kwenye ofisi kuu ya CCM mjini Dodoma Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi...

 

5 years ago

CCM Blog

HAJI RASHID PANDU ACHUKUWA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

Kada wa CCM Mgombea Urais wa Zanzibar kutoka Wilaya ya Kati  Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Haji Rashid Pandu akikabidhi fedha kwa ajili ya uchuaji wa Fomu ya Urais akimkabidhi Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo, alipofika leo Afisi ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. akitokea Kijiji cha Bambi ni Mkulima.





 

11 years ago

GPL

CLARENCE SEEDORF ATIMULIWA AC MILAN, FILIPPO INZAGHI ACHUKUWA MIKOBA YAKE

Clarence Seedorf akiwa mzigoni. KOCHA wa AC Milan, Clarence Seedorf ametimuliwa kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Filippo "Pippo" Inzaghi Filippo "Pippo" Inzaghi. Seedorf alianza kukinoa kikosi hicho chenye maskani yake San Siro mwezi Januari akichukuwa nafasi ya Massimiliano Allegri. AC Milan imemaliza Serie A ikiwa nafasi ya nane msimu… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murry apata jiko

Mwishoni mwa wiki hii, kulikuwa na shamra shamra kwa mcheza tenis maarufu ulimwenguni Andy kupata kumvika pete mpenziwe Kim.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aangukiwa na ukuta wa jiko

MTOTO Grace Zefania (9), amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la jiko la Kanisa la Calvary Oysterbay Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30...

 

11 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BAKARI .M. NYAMBI

Familia ya Bw.BAKARI NYAMBI wa Temeke Dar es Salam wanakumbuka kifo cha baba yao mpendwa Bw.BAKARI NYAMBI kilichotokea tarehe 22.09.2014 siku ya Alhamisi na kuzikwa Ijumaa hapa DSM.Leo ni siku ya kumbukumbu yake mpendwa wetu Bakari Nyambi,kama ndugu jamaa na marafiki wa familia hiyo tunaomba kushirikiana katika kumuombea kwa mungu siku zote za maisha yetu.
Tulimpenda sana hila Mungu alimpenda zaidi (‘TUKUMBUKE MANENO WANAYOTUELEZA WAZAZI KWANI YANA FAIDA KWA MAISHA YA BAADAE HASA...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU YAHYA KIYABO ACHUKUA JIKO

 Maharausi wakikata keki kuashilia upendo katika hafla  iliyofanyika katika Ukumbi wa Danken House,Mikocheni jijini Dar es Salaam, Bwanaharusi Yahaya Kiyabo akimlisha keki Biharusi,Aisha Kirapo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken  House,Mikocheni Jijini Dar es Salaam,   Biharusi,Aisha Kirapo akimlisha keki Bwanaharusi Yahya Kiyabo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken ,Mikocheni Jijini Dar es Salaam, Bwanaharusi Yahya Kiyabo akiwakabidhi baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani