JIKO LA GESI LAUNGUZA MWALIMU VIBAYA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/--oLDKPTiAjs/VJFB0TIz1vI/AAAAAAAG3tA/d8X0SnVPK1Q/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Mwalimu Masungwe Revania akiwa anaendelea na matibabu katika chumba cha upasuaji katika hospital ya Mkoa wa Kigoma maweni baada ya kulipukiwa na jiko la gesi na kumuunguza vibaya.
Picha na habari na Editha Karlo
wa Globy ya Jamii, KigomaMwalimu wa shule ya sekondari ya mazungwe Revania Ndebigeze(39)Wilaya ya Uvinza Mkoani hapa amelazwa katika hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kuungua vibaya na moto wa gesi.
Akiongea na mwandishi wa habari hii kwa taabu katika chumba cha upasuaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi07 Mar
JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI
![](https://3.bp.blogspot.com/-nDU7duA_2L4/Uxh343a0lhI/AAAAAAAAIfA/2oc_KA-pYgI/s640/DSC057491.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-IdpioC0U3Wc/Uxh3tknx0lI/AAAAAAAAIeo/3TmbX_ilxew/s640/DSC057461.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-ZsBPRsu_GGU/Uxh4IYY9-xI/AAAAAAAAIfg/fG_53Ei8aZ4/s640/DSC057521.jpg)
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-nDU7duA_2L4/Uxh343a0lhI/AAAAAAAAIfA/2oc_KA-pYgI/s640/DSC057491.jpg?width=640)
JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI MWANZA
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Kampuni ya Vunja Bei yamkabidhi Mkuu wa Mkoa Arusha zawadi ya Dinner Set na jiko la Gesi
Mkurugenzi wa kampuni ya vunja bei inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya nyumbani Bw.Shija Ulaya Kamanija akimkabidhi zawadi ya dinner set Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh.Felix Ntibenda jana kwa kumpongeza kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa huo ambapo pia aliwapatia watumishi zawadi ya chupa ya chai na vikombe vya chai kwa kuwapongeza kwa kufanya kazi kwa bidii shughuli hiyo ilifanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa Mkoa huku promosheni hiyo ikiwavutia wakazi wa jiji la Arusha.
Mkuu...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Hiace yaua mwalimu Kigoma
MWALIMU mmoja mkazi wa Mlole Manisapaa ya Kigoma Ujiji amefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace yenye namba CMS 688 inayofanya safari zake Kigoma mjini kwenda Kijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Lhvbf2PQg5M/VS0LaZJeb6I/AAAAAAAHRFU/o-NilAJbfHI/s72-c/IMG-20150414-WA0089.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ;RADI YAUA MWALIMU NA WANAFUNZI SITA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lhvbf2PQg5M/VS0LaZJeb6I/AAAAAAAHRFU/o-NilAJbfHI/s1600/IMG-20150414-WA0089.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8fCO1jg0Ag/VS0LaQf5VBI/AAAAAAAHRFI/lmFHbaOJ-cU/s1600/IMG-20150414-WA0090.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HDEPaKFqHrg/VS0LaConKXI/AAAAAAAHRFE/rlnfZ1QCA6Q/s1600/IMG-20150414-WA0092.jpg)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa wa Kigoma,Maweni akiongeza na Waandishi wa habari juu ya tukio la radi lililotokea hivi punde na kuuwa watu 8
Na Editha Karlo Karlo wa blog ya jamii,KigomaWATU wanane wakiwemo wanafunzi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya
UTEUZI wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.