Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI MWANZA

Mwananchi juu ya paa la nyumba ya mtu mmoja maarufu kwa jina la Mama Mayunga, akijaribu kurusha vifuko vya mchanga katika moja ya majengo ya nyumba iliyozuka moto Jana majira ya saa 5 asubuhi mtaa wa Majengo jirani na Masangwa Guest House wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Moto huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na kuiteketeza… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI

Mwananchi juu ya paa la nyumba ya mtu mmoja maarufu kwa jina la Mama Mayunga, akijaribu kurusha vifuko vya mchanga katika moja ya majengo ya nyumba iliyozuka moto Jana majira ya saa 5 asubuhi mtaa wa Majengo jirani na Masangwa Guest House wilayani Misungwi mkoani Mwanza.  Moto huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na kuiteketeza kabisa nyumba hiyo ikiwa na furniture zake. Huku baadhi yao wakiwa wamejitosa kufanya uokoji wa mali, wananchi wengine kama...

 

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x


Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani(wa kwanza) akizungumza na Bi Restuta Willbad wakati alipokwenda kukagua nyumba ya mwanakijiji huyo wa kijiji cha Isamilo, Wilaya ya Misungwi,Mkoani Mwanza,Moja ya Nyumba ambayo Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani ameikagua ambayo ipo katika kijiji cha Usagara Wilaya ya Misungwi,Mkoani MwanzaWaziri wa Nishati,Dkt Medard...

 

10 years ago

Michuzi

JIKO LA GESI LAUNGUZA MWALIMU VIBAYA KIGOMA

Mwalimu Masungwe Revania akiwa anaendelea na matibabu  katika chumba cha upasuaji katika hospital ya Mkoa wa Kigoma maweni baada ya kulipukiwa na jiko la gesi na kumuunguza vibaya.

Picha na habari na Editha Karlo
wa Globy ya Jamii, KigomaMwalimu wa shule ya sekondari ya mazungwe Revania Ndebigeze(39)Wilaya ya Uvinza Mkoani hapa amelazwa katika hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kuungua vibaya na moto wa gesi.
Akiongea na mwandishi wa habari hii kwa taabu katika chumba cha upasuaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Vunja Bei yamkabidhi Mkuu wa Mkoa Arusha zawadi ya Dinner Set na jiko la Gesi

unnamed (3)

Mkurugenzi wa kampuni ya vunja bei inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya nyumbani Bw.Shija Ulaya Kamanija akimkabidhi zawadi ya dinner set Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh.Felix Ntibenda jana kwa kumpongeza kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa huo ambapo pia aliwapatia watumishi zawadi ya chupa ya chai na vikombe vya chai kwa kuwapongeza kwa kufanya kazi kwa bidii shughuli hiyo ilifanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa Mkoa huku promosheni hiyo ikiwavutia wakazi wa jiji la Arusha.

unnamed (4)

Mkuu...

 

10 years ago

Budget For 2015/16

Mwanza's Misungwi District Council approves 38bn/


Mwanza's Misungwi District Council approves 38bn/- budget for 2015/16
IPPmedia
Misungwi District Council in Mwanza has approved their budget estimates of 38.1bn/- for implementation of various development projects and recurrent expenditures for the 2015/2016 financial year. Out of the total budget, 27.8bn/- is for recurrent expenditure ...

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA MWANZA KATIKA MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani