Kampuni ya Vunja Bei yamkabidhi Mkuu wa Mkoa Arusha zawadi ya Dinner Set na jiko la Gesi
Mkurugenzi wa kampuni ya vunja bei inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya nyumbani Bw.Shija Ulaya Kamanija akimkabidhi zawadi ya dinner set Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh.Felix Ntibenda jana kwa kumpongeza kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa huo ambapo pia aliwapatia watumishi zawadi ya chupa ya chai na vikombe vya chai kwa kuwapongeza kwa kufanya kazi kwa bidii shughuli hiyo ilifanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa Mkoa huku promosheni hiyo ikiwavutia wakazi wa jiji la Arusha.
Mkuu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi07 Mar
JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI
![](https://3.bp.blogspot.com/-nDU7duA_2L4/Uxh343a0lhI/AAAAAAAAIfA/2oc_KA-pYgI/s640/DSC057491.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-IdpioC0U3Wc/Uxh3tknx0lI/AAAAAAAAIeo/3TmbX_ilxew/s640/DSC057461.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-ZsBPRsu_GGU/Uxh4IYY9-xI/AAAAAAAAIfg/fG_53Ei8aZ4/s640/DSC057521.jpg)
5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--oLDKPTiAjs/VJFB0TIz1vI/AAAAAAAG3tA/d8X0SnVPK1Q/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
JIKO LA GESI LAUNGUZA MWALIMU VIBAYA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/--oLDKPTiAjs/VJFB0TIz1vI/AAAAAAAG3tA/d8X0SnVPK1Q/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
Picha na habari na Editha Karlo
wa Globy ya Jamii, KigomaMwalimu wa shule ya sekondari ya mazungwe Revania Ndebigeze(39)Wilaya ya Uvinza Mkoani hapa amelazwa katika hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kuungua vibaya na moto wa gesi.
Akiongea na mwandishi wa habari hii kwa taabu katika chumba cha upasuaji...
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-nDU7duA_2L4/Uxh343a0lhI/AAAAAAAAIfA/2oc_KA-pYgI/s640/DSC057491.jpg?width=640)
JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI MWANZA
Mwananchi juu ya paa la nyumba ya mtu mmoja maarufu kwa jina la Mama Mayunga, akijaribu kurusha vifuko vya mchanga katika moja ya majengo ya nyumba iliyozuka moto Jana majira ya saa 5 asubuhi mtaa wa Majengo jirani na Masangwa Guest House wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Moto huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na kuiteketeza… ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-as2yBx2XVEE/Uve9OMQZCtI/AAAAAAAFL9A/QdXWFoaQq5E/s72-c/unnamed+(15).jpg)
ZAWADI YA ASILI YA WANYATURU KWA MKUU WA MKOA DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-as2yBx2XVEE/Uve9OMQZCtI/AAAAAAAFL9A/QdXWFoaQq5E/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7enhtaMuXeQ/VgZu8WXRT9I/AAAAAAABV-E/h8MJBZaQieE/s72-c/4.jpg)
MKUU WA MKOA WA MOROROGORO - M-POWER PUNGUZENI BEI YA HUDUMA YA NISHATI YA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-7enhtaMuXeQ/VgZu8WXRT9I/AAAAAAABV-E/h8MJBZaQieE/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VqWDsw0H8Wk/VgZu8KGTwGI/AAAAAAABV-A/2rSo4CCIiIY/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9GfkWKz4FxY/VgZu6Tg8aLI/AAAAAAABV94/gAqy4zr5J3A/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qP-y2tt6KaU/VBlXMaudcEI/AAAAAAAGkCw/wrdKzWn9d24/s72-c/PIX%2B1.jpg)
KAMPUNI YA PUMA ENERGY YAMKABIDHI SILIMA MAMILIONI YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qP-y2tt6KaU/VBlXMaudcEI/AAAAAAAGkCw/wrdKzWn9d24/s1600/PIX%2B1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh36179LA*EqlB635VcS9XY8*DQ4PYeTzoJE1k07MXYUAsWqJqbLcw4VuZ-Xcigfds-COlU0ANhTU65Lp*eorUI/Voda1.jpg?width=650)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AIKABIDHI NGAO VODACOM TANZANIA
Mkuu wa mkoa wa Arusha Bw.Magessa mulongo, akimkabidhi ngao Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa kwa kutambua mchango na jitihada za Vodacom kuhakikisha usalama barabarani,ngao hiyo ilikabidhiwa wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani yamefanyika kitaifa mkoani Arusha,kampuni ya Vodacom ni moja wa wadhamini wakubwa wa wiki ya nenda kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania