Tujiandae ya Nestori kuzinduliwa
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, Mtanzania anayeishi nchini Australia, Mkuruta Nestori, anatarajia kuzindua albamu yake iitwayo ‘Tujiandae’ ikiwa katika mfumo wa DVD, shughuli itakayofanyika kwenye Kanisa la Victoria Living Church...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Tujiandae na ujio wa Windows 10
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Tunashangaa wizi IPTL? Tujiandae kulipa deni
HIVI karibuni umefichuliwa ufisadi mkubwa wa dola za Marekani milioni 122 sawa na sh bilioni 200 unaodaiwa kufanywa na vigogo wa serikali. Msusuru mrefu wa majina ya viongozi na watendaji...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Aeshi: Tujiandae kwa katiba uchaguzi ukipita
MJUMBE wa Bunge Maalum, Aeshi Hilary, amesema kuahirishwa kwa mchakato wa Katiba mpya kutasaidia taifa kuelekeza nguvu kwenye shughuli za maendeleo na mabadiliko ya katiba ya sasa. Kauli hiyo, aliitoa...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Mwenge wa uhuru kuzinduliwa Kagera
MWENGE wa uhuru utazinduliwa Mei 2 mwaka huu mkoani Kagera ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 14 itazinduliwa. Katika shughuli za uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Baraza la Walemavu kuzinduliwa Julai
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepanga kufanya uzinduzi wa Baraza la Taifa la Walemavu Julai mwaka huu. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dk. Stephen Kebwe, alieleza hayo bungeni...
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Meli ya matibabu kuzinduliwa Mwanza
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
MRADI wa meli ya huduma za matibabu, ulio chini ya Dayosisi ya Africa Inland Church Tanzania (AICT), mkoani hapa, unatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Askofu Mkuu Dayosisi ya Geita, Musa Magwesela, alisema meli hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu katika visiwa mbalimbali vilivyopo ndani ya ziwa Victoria na mikoa ya Geita, Kagera na Mwanza.
Alisema Ziwa Victoria lina takribani visiwa 90 huku, vikikisiwa kuwa na wakazi wapatao 450,000.
“Kupitia meli hiyo,...