Umeme wa Samadi kuzinduliwa
Umeme wa Samadi unatarajiwa kuzinduliwa Afrika Mashariki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s72-c/PIC+1.png)
Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s1600/PIC+1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wLPALSA0wcA/U6BuRrBeKjI/AAAAAAABLoU/Xq2PEvJf09w/s1600/PIC+4.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bXlBlTHSs-A/U6BuXprjHcI/AAAAAAABLok/Owounfiqwn8/s1600/PIC+7.png)
Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Tujiandae ya Nestori kuzinduliwa
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, Mtanzania anayeishi nchini Australia, Mkuruta Nestori, anatarajia kuzindua albamu yake iitwayo ‘Tujiandae’ ikiwa katika mfumo wa DVD, shughuli itakayofanyika kwenye Kanisa la Victoria Living Church...
10 years ago
Mwananchi28 Feb
‘Daladala’ ya Mv Dar es Salaam kuzinduliwa
Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli amekagua safari ya kivuko cha Mv Dar es Salaam kwa mara ya kwanza hadi Bagomoyo, huku kukiwa na changamoto kadhaa miezi michache kabla ya uzinduzi rasmi wa huduma hiyo.
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Meli ya matibabu kuzinduliwa Mwanza
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
MRADI wa meli ya huduma za matibabu, ulio chini ya Dayosisi ya Africa Inland Church Tanzania (AICT), mkoani hapa, unatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Askofu Mkuu Dayosisi ya Geita, Musa Magwesela, alisema meli hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu katika visiwa mbalimbali vilivyopo ndani ya ziwa Victoria na mikoa ya Geita, Kagera na Mwanza.
Alisema Ziwa Victoria lina takribani visiwa 90 huku, vikikisiwa kuwa na wakazi wapatao 450,000.
“Kupitia meli hiyo,...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
p>KLABU ya Mwananyamala Jogging, inatarajiwa kufanya sherehe maalumu za kuizindua tangu ilipoanzishwa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Salum Nyumba ‘Chisco’, alisema...
11 years ago
Michuzi01 Feb
RADIOMBAO KUZINDULIWA UPYA LEO
![My bad, nimesahau kuweka anwani ya mtandaoni ya RADIO MBAO. Ni www.radiombao.com na itakuwa hewani kuanzia Februari Mosi 2014. Sie tunaamini katika #SharingIsCaring , na RADIOMBAO inakuhamasisha nawe ku-share nasi habari yoyote ile . Usihofie kwamba “ah mie sio mwandishi” tutahariri habari yako na itasomwa/kusikika katika nchi 138 duniani. Na wala usikwazwe na “ah mie sijawahi kuandika” kwani kama unaweza kuandika SMS basi kwa hakika unaweza pia kuandika habari. Pia kila jambo lina mwanzo, mtoto hazaliwi akitembea. Kwahiyo yawezekana RADIOMBAO ikaibua kipaji chako…lakini ili hilo liwezekane basi usihofie ku-share nasi habari. Ni Jumamosi Februari 1, 2014, mahali pa kukutana ni www.radiombao.com #SharingIsCaring (at Glasgow)](http://31.media.tumblr.com/946bfbe0832fc2c069028f00eb9a104b/tumblr_n05ck7D7K71qzfdwuo1_500.jpg)
RADIO MBAO: Ninaomba kuwafahamisha kuwa mie na mwenzangu @djkvelli mkongwe wa masuala ya entertainment kama dj nchini Marekani na mmiliki wa kituo maarufu cha radio mtandaoni, RADIOMBAO, tumeunganisha nguvu, na kwa pamoja tunawaletea uzinduzi RADIOMBAO katika sura mpya. Licha ya matangazo ya radio, RADIOMBAO sasa inakuletea habari mbalimbali katika namna tofauti (bringing you news not in your traditional way). Uzinduzi rasmi utakuwa LEO Jumamosi ya Februari 1 mwaka huu 2014.
Tunataka...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mtandao Mtakatifu kuzinduliwa Accra
Kundi la RA ambalo ni la kikristo nchini Ghana linatarajia kuzindua kitu kinachoitwa mtandao wa kijamii mtakatifu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania