Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aeshi: Tujiandae kwa katiba uchaguzi ukipita

MJUMBE wa Bunge Maalum, Aeshi Hilary, amesema kuahirishwa kwa mchakato wa Katiba mpya kutasaidia taifa kuelekeza nguvu kwenye shughuli za maendeleo na mabadiliko ya katiba ya sasa. Kauli hiyo, aliitoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Aeshi: Katiba mpya 2018

MJUMBE wa Bunge Maalum, Aeshi Hilary, amewataka Watanzania wasiendelee kuamini upotoshwaji kuwa katiba mpya itatumika mwaka 2015 bali wajue itatumika mwaka 2018. Hilary, amesema wananchi wengi wamekuwa wakitumia muda mwingi...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: AESHI KHALFAN HILALY

Mbunge Aeshi Khalfan Hilaly ni mbunge wa jimbo la Sumbawanga Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi amezungumza na gazeti la mwananchi na kujibu maswali kumi aliyoulizwa na wananchi wa jimboni kwake

 

9 years ago

Dewji Blog

Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!

Tanzania-Flag-Wallpapers

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi  katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...

 

10 years ago

Mwananchi

SIASA: ‘Ole wao wanaotumia Katiba kwa uchaguzi’

>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanasiasa wanaodhani kuwa wanaweza kuitumia Katiba Mpya kama ajenda yao kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani, wanajidanganya .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tujiandae ya Nestori kuzinduliwa

MWIMBAJI wa nyimbo za injili, Mtanzania anayeishi nchini Australia, Mkuruta Nestori, anatarajia kuzindua albamu yake iitwayo ‘Tujiandae’ ikiwa katika mfumo wa DVD, shughuli itakayofanyika kwenye Kanisa la Victoria Living Church...

 

10 years ago

Mwananchi

Tujiandae na ujio wa Windows 10

Kipindi cha katikati ya mwaka kampuni nyingi hutangaza ujio wa programu mpya au kuboresha zile za zamani.

 

10 years ago

Habarileo

WanaCCM wavamia ofisi wakihoji kuenguliwa Aeshi

WAKAZI na wapigakura wa Jimbo la Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa wamevamia Ofisi ya CCM wilaya ya Sumbawanga Mjini, wakidai kupewa maelezo ya kina kuhusu kuenguliwa jina la mbunge aliyemaliza muda wake, Aeshi Hilaly.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunashangaa wizi IPTL? Tujiandae kulipa deni

HIVI karibuni umefichuliwa ufisadi mkubwa wa dola za Marekani milioni 122 sawa na sh bilioni 200 unaodaiwa kufanywa na vigogo wa serikali. Msusuru mrefu wa majina ya viongozi na watendaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani