SIASA: ‘Ole wao wanaotumia Katiba kwa uchaguzi’
>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanasiasa wanaodhani kuwa wanaweza kuitumia Katiba Mpya kama ajenda yao kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani, wanajidanganya .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Lowassa: Ole wao
NA MAREGESI PAUL, KAHAMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewaonya viongozi watakaowanyanyasa wamachinga, mama ntilie na waendesha bodaboda baada ya yeye kuingia madarakani.
Amesema pamoja na kwamba Serikali yake itamjali kila Mtanzania, makundi hayo matatu ni marafiki zake na anajua umuhimu wao katika kukuza uchumi wa taifa.
Kutokana na hali hiyo, amesema hatasita kumchukulia hatua kiongozi yeyote wa Serikali atakayeyanyanyasa makundi hayo kwa...
10 years ago
Mtanzania02 Feb
JK:Ole wao wagombea CCM
SHABANI MATUTU, SONGEA na Oliver Oswald (Dar)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewaonya watu wanaotaka kuwania urais kupitia chama hicho.
Amesema endapo watavunja sheria na kanuni wasikilaumu chama hicho bali wajilaumu wenyewe.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Songea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yaliyohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.
Alisema anaamini CCM ni chama kinachofuata taratibu za kuwapata viongozi wake bora kwa...
10 years ago
Habarileo12 Sep
‘Ole wao wanaojitangaza kutibu magonjwa sugu’
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Steven Kebwe ametaka watu wanaojitangaza kuwa na uwezo wa kutibu, kuponya magonjwa sugu kuacha kufanya hivyo.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
January awatwisha mzigo watendaji , aonya ole wao!
9 years ago
Mtanzania08 Oct
Kibanda: Ole wao wanaochafua magazeti ya MTANZANIA, RAI
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, RAI, Bingwa Dimba na The African, imelaani vikali, uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu unaofanywa na watu wasio na nia njema na kampuni
hiyo.
Jana watu hao wasio na nia njema na kampuni hiyo, hasa magazeti ya MTANZANIA na RAI, walitengeneza mfano wa magazeti hayo kisha kuyaweka kwenye mitandao ya kijamii, yakiwa na taarifa mbalimbali za uongo na uzushi.
Akizungumzia hali hiyo jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Rf-HO1qBdtc/VTdSvNxhoEI/AAAAAAABMLs/ZaVGb9A_zqA/s72-c/unnamed.jpg)
TAMKO LA WANAWAKE NA KATIBA KWA VIONGOZI WA SIASA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rf-HO1qBdtc/VTdSvNxhoEI/AAAAAAABMLs/ZaVGb9A_zqA/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
VijimamboUtiaji saini waraka wa maadili ya uchaguzi kwa vyama vya siasa