Kibanda: Ole wao wanaochafua magazeti ya MTANZANIA, RAI
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, RAI, Bingwa Dimba na The African, imelaani vikali, uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu unaofanywa na watu wasio na nia njema na kampuni
hiyo.
Jana watu hao wasio na nia njema na kampuni hiyo, hasa magazeti ya MTANZANIA na RAI, walitengeneza mfano wa magazeti hayo kisha kuyaweka kwenye mitandao ya kijamii, yakiwa na taarifa mbalimbali za uongo na uzushi.
Akizungumzia hali hiyo jijini Dar es Salaam...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3_CptzYDIFw/XvFfVli8F1I/AAAAAAACOQA/i7A6eSMIC5UJwoLaqJv9iJLiFZNQs24nACLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
CCM YAWAONYA WATIA NIA WANAOCHAFUA MADIWANI NA WABUNGE WANAOMALIZA MUDA WAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-3_CptzYDIFw/XvFfVli8F1I/AAAAAAACOQA/i7A6eSMIC5UJwoLaqJv9iJLiFZNQs24nACLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25281%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Wenye nia za kugombea Udiwani, Ubunge katika Kata na Majimbo mkoani Kagera kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonywa kuacha tabia ya kutoa kauli za kuwachafua madiwani na wabunge wanaomaliza muda wao kama njia rahisi ya kushinda nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu uliopamgwa...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Lowassa: Ole wao
NA MAREGESI PAUL, KAHAMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewaonya viongozi watakaowanyanyasa wamachinga, mama ntilie na waendesha bodaboda baada ya yeye kuingia madarakani.
Amesema pamoja na kwamba Serikali yake itamjali kila Mtanzania, makundi hayo matatu ni marafiki zake na anajua umuhimu wao katika kukuza uchumi wa taifa.
Kutokana na hali hiyo, amesema hatasita kumchukulia hatua kiongozi yeyote wa Serikali atakayeyanyanyasa makundi hayo kwa...
10 years ago
Mtanzania02 Feb
JK:Ole wao wagombea CCM
SHABANI MATUTU, SONGEA na Oliver Oswald (Dar)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewaonya watu wanaotaka kuwania urais kupitia chama hicho.
Amesema endapo watavunja sheria na kanuni wasikilaumu chama hicho bali wajilaumu wenyewe.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Songea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yaliyohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.
Alisema anaamini CCM ni chama kinachofuata taratibu za kuwapata viongozi wake bora kwa...
10 years ago
Habarileo12 Sep
‘Ole wao wanaojitangaza kutibu magonjwa sugu’
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Steven Kebwe ametaka watu wanaojitangaza kuwa na uwezo wa kutibu, kuponya magonjwa sugu kuacha kufanya hivyo.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
January awatwisha mzigo watendaji , aonya ole wao!
10 years ago
Mwananchi29 Sep
SIASA: ‘Ole wao wanaotumia Katiba kwa uchaguzi’
11 years ago
Habarileo15 Apr
Wajibuni wanaochafua uhandisi jeni -Malima
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima ametaka wanasayansi na watafiti nchini wasikae kimya badala yake wawajibu wanaharakati wanaowachafua kuhusu matumizi ya teknolojia ya uhandisi jeni (GMO) bila kuwa na ushahidi wa madai yao.
11 years ago
IPPmedia30 Jan
Kibanda, Makunga acquitted
eTurboNews
IPPmedia
Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday acquitted former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and two others of charges of sedition due to lack of sufficient evidence. The accused were acquitted under section 235 of ...
Tanzanian court sets free senior editors free from seditious caseeTurboNews
Court frees editors off sedition hookDaily News
Tanzanian acquits three journalists for seditionGlobalPost
all 4
11 years ago
Habarileo30 Jan
Kibanda aachiwa huru
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam imemwachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake baada ya kuwaona hawana hatia katika mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yanawakabili.