Maswali kumi kwa Mbunge wangu: AESHI KHALFAN HILALY
Mbunge Aeshi Khalfan Hilaly ni mbunge wa jimbo la Sumbawanga Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi amezungumza na gazeti la mwananchi na kujibu maswali kumi aliyoulizwa na wananchi wa jimboni kwake
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max
Uliwaahidi wakazi wa Kijiji cha Nyantorotoro, Geita maji baada ya kuwaona wanateseka kwa kunywa maji ya chumvi na meupe kama maziwa, lakini mpaka leo bado wanateseka.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Moses Machali
Wilaya ya Kasulu inakabiliwa na wimbi kubwa la uhalifu na kila wanapokamatwa hata kama kuna vithibitisho vya kutosha, wahalifu hao huachwa bila kuchukuliwa hatua za kisheria na hivyo kuzidi kwa vitendo vya uhalifu. Utafanya nini ili kukomesha tabia ya polisi kuwaachia watuhumiwa kienyeji?
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:January Makamba
Wakati unaomba kura ulituahidi ifikapo mwaka 2014, Mji wa Soni utakuwa hauna tena shida ya maji, lakini mpaka sasa tatizo liko palepale, bado wakazi wa Soni wanahangaika kupata maji. Je, una mkakati gani wa kutuletea maji wakazi wa Soni.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Israel Natse
1. Agnes Michael, mkazi wa Kijiji cha Gongali, Kata ya Qurus.
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mathias Chikawe
Umefanya mambo gani katika kuinua sekta ya elimu tangu uingie madarakani 2005 hadi sasa?
Jibu: Wakati naingia madarakani mwaka 2005 shule za sekondari zilikuwa sita lakini sasa zipo 19. Nimejenga bweni moja shule maalumu ya wasichana wanalala wanafunzi 45.
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi
Lini Jiji la Mbeya litapata barabara za njia mbili kupunguza msongamano?
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu
Umewaagiza wananchi wasichangie miradi yao ya maendeleo kwa madai Serikali ina fedha za kutosha za kugharamia, mbona hadi sasa hujahimiza Serikali ilete hizo fedha pamoja na za ujenzi wa maabara?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania