WATOTO WENYE ULEMAVU WAWAPONGEZA FPCT NA ERIKS
Mmoja wa watoto wenye ulemavu, Kashindye Athumani aliyenufaika na mpango huo. Watoto wenye ulemavu katika maeneo mbalimbali ya Tanzania wameipongeza taasisi ya Free Pentecostal Church of Tanzania (FPCT) na wadhamini wake, ERIKS kwa kuwawezesha kuwa na nguvu ya kueleza mahitaji na changamoto zao kwa wazazi, serikali na jamii inayowazunguka. Wakizungumzia mradi huo unaowahusu wao, watoto hao wamesema umewawezesha kuzijua haki zao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKATIBU FPCT AZUNGUMZIA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff2WuI9nmP51XVjxglCcRRbUOjqm6oOMiHWywe4C2dT-XSB6TB86uRjb-CSe5afJ1B613Lzyaifh-wNXaIpkSJg6/AskofuwaKanisalaFPCTJimbolaTaboraKusiniMchungajiIsayaIlumbaakimkabidhimwanafunziNassoroAllykitichamagurudumu..jpg?width=650)
FPCT, ERIKS DEVELOPMENT WATOA ‘WHEEL CHAIRS’ KWA WATOTO WALEMAVU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzDEAVhMIBGxhkUyCBJ5u0DnsnevBveKwswpm1l6XzV7oiC1csPJsV5aNsSInW14wSBxAwi0mEhO2Uugkvxt8YAJ/MkurugenziwaHalmashauriyaBahiFredrickKayamboakisisitizajambo.jpg)
HALMASHAURI MKOANI DODOMA ZAUNGA MKONO JUHUDI ZA FPCT, ERIKS
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Watoto wenye ulemavu wamkuna Natasha
NA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation...
10 years ago
Mtanzania04 May
Barnaba: Tusiwatenge watoto wenye ulemavu
NA RUTH MNKENI
WIMBO wa ‘Tuwapende’ wa msanii wa Bongo Fleva, Barnaba umetumika katika kampeni ya kuhamasisha jamii isiwatenge watoto wenye ulemavu wa akili.
Barnaba alionyesha kwa vitendo kuhamasisha jamii hiyo kupitia wimbo wake huo huku akicheza na baadhi ya watoto hao waliokuwa wamekusanyika katika matembezi hayo mwishoni mwa wiki.
“Mimi kwa kweli niliguswa ndiyo maana nikatoka na wimbo huo kwa kuwa naamini hakuna mtu anayependa kupata mtoto mwenye ulemavu wowote na ikitokea hivyo huwa...
9 years ago
StarTV18 Dec
Wazazi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Wazazi wa watoto wenye ulemavu katika mkoa wa Tanga wameendelea kulaani tabia ya wazazi kuwaficha watoto wao majumbani badala ya kuwapeleka shuleni kupata elimu na maarifa yatakayowasaidia kwenye maisha yao.
Wazazi hao walikuwa wakizungumza katika hafla iliyowakutanisha walemavu kwenye kituo cha watoto wenye ulemavu cha YDCP kama sehemu ya kujumuika nao kusherehekea sikukuu ya Krismasi.
Wazazi hao wamesema ipo sababu ya msingi ya kuondokana na tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Njia bora za kuwasaidia watoto wenye ulemavu
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p6PjeHNdrt0/XncrOjG_HwI/AAAAAAALkts/QKqg5rWCP0Q69RgfMgs4l-foJOaRfmq5ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200322-WA0015-768x513.jpg)
KAWAMBWA AKABIDHI VITI MWENDO KWA WATOTO WENYE ULEMAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-p6PjeHNdrt0/XncrOjG_HwI/AAAAAAALkts/QKqg5rWCP0Q69RgfMgs4l-foJOaRfmq5ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200322-WA0015-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200322-WA0009-1024x684.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200322-WA0010-1024x684.jpg)