BARAZA KUU CUF LAKUTANA ZANZIBAR
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CUF (Bara) bibi Magdalena Sakaya, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) Mhe. Nassor Ahmed Mazurui, pamoja na baadhi ya wajumbe wa baraza kuu la Uongozi CUF, mara baada ya kuwasili katika hoteli ya Mazsons Mjini Zanzibar kwa ajili ya kuanza kikao hicho.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KJ4LtC7HGRM/U2UbOyoL98I/AAAAAAAFfNg/dCLpUwFZLHY/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Baraza Kuu la Uongozi CUF Taifa lakutana jijini dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-KJ4LtC7HGRM/U2UbOyoL98I/AAAAAAAFfNg/dCLpUwFZLHY/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--b25PwpQIQc/U2UbO2GbGzI/AAAAAAAFfNo/QTawZ0Rg_dc/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H5UuuQ1WPaA/U2UbOyo0A3I/AAAAAAAFfNk/o0te3UwsXS8/s1600/unnamed+(54).jpg)
11 years ago
Michuzi17 Apr
Baraza Kuu la Wafanyakazi NSSF Lakutana Dar es Salaam
![Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0106.jpg)
![Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kushoto) akikaimu uenyekiti wa moja ya vikao vya Baraza Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0108.jpg)
![Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau (kushoto) akizungumza na mmoja wa wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0167.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0106.jpg)
BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI NSSF LAKUTANA JIJINI DAR
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao. Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kushoto) akikaimu uenyekiti wa moja ya vikao vya Baraza Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii. Kulia ni Katibu wake. Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau (kushoto) akizungumza na mmoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s72-c/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
KAMATI KUU YA BARAZA LA WATOTO LAKUTANA DODOMA KUTOA TAMKO LA WATOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s1600/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
kamati kuu la Baraza la watoto limekutana mjini Dodoma chini ya Uongozi wa mwenyekiti wake Ummy Jamaal kutoa tamko la watoto kwa waheshimiwa wabunge na waandishi wa habari wakitoa msisitizo wa ajenda ya mtoto kuwa sehemu ya mchaakato wa katiba.
Jambo kubwa walilosisitiza ni kuwaomba Ukawa warudi bungeni ili kumalizia mchakato wa kutengeneza katiba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GcI7Y8XJfjQ/U_cfD8pDhLI/AAAAAAACn4g/3YubYUUpImo/s1600/IMG_0263%5B1%5D.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Chama chama Wananchi (CUF)wamepinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kufutwa kutokana na mtu aliyefanya utenguzi huo ni utashi wake na sio Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi CUF wakutana
![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iyLef7AMZ6g/U7ACcbfIA9I/AAAAAAAFtbE/vIStBPcQ8BQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Baraza kuu CUF lakataa kurudia uchaguzi Z'bar
Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), limekutana na kusisitiza kuwa hawatarudia uchaguzi wa Zanzibar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAL6J2YFis-gGWS0PSzuDbMPISRwOsy*9rJNDegKty2F8WsynLhfUTRlEVHzRPlFgHKdvysg3HmnZB8aulKMNQsU/1.jpg?width=650)
LOWASSA AHUDHURIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CUF JIJINI DAR LEO
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akikumbatiana na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kabla ya kuelekea kwenye Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.Â
Mgombea...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s72-c/MMGL0172.jpg)
LOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF, JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s640/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kKf-PsMDlTY/VcdcDdYkU1I/AAAAAAAHvfA/w4xY93s99zw/s640/MMGL0373.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania