Kero za vijana na Uchaguzi Tanzania
Kuna matatizo mbalimbali yanayowakumba vijana waliojiajiri kwenye biashara ndogondogo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboTAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
GPLTAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Mark Childress akizungumza katika Kongamano hilo lililohusu Ndoto Kubwa ya vijana kabla ya uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi lililofanyika jana Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam. Mwakilishi kutoka Taasisi ya Ekihya, Lillian Secelela akiongoza kongamano hilo. Mtaalamu wa masuala ya vijana, Humphrey Polepole, akizungumza katika… ...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Zambi: Ushabiki wa siasa si suluhu ya kero za vijana
Katika shughuli za kisiasa si jambo la ajabu kuona kuwa vijana ndiyo wamekuwa wakitumika kwa wingi hapa nchini na kwingineko kuwapigia kampeni viongozi, kufanya propaganda za kampeni, kupiga na kulinda kura.
10 years ago
Vijimambo09 Feb
NCHINI TANZANIA,MWIGULU SASA AONGOZA SAFU YA KUKUBALIKA KUELEKEA UCHAGUZI WA URAIS 2015,AWABWAGA VIJANA WENZAKE
Wasaka urais vijana: Utafiti wamng'arisha MwiguluNa Moshi Lusonzo ![.](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC09272.jpg?resize=525%2C690)
![.](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC09248.jpg?resize=524%2C689)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.Harakati za Uchaguzi Mkuu zimeendelea kushika kasi, baada ya utafiti uliotolewa jana kumtaja Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuongoza kundi la wanasiasa vijana wanaokubalika na Watanzania katika kugombea nafasi ya urais.
Akizungumza jijini Dar es salaam jana
wakati akizindua ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (Tedro), Mwenyekiti wa...
![.](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC09272.jpg?resize=525%2C690)
![.](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC09248.jpg?resize=524%2C689)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mwingulu-09Feb2015.jpg)
Akizungumza jijini Dar es salaam jana
wakati akizindua ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (Tedro), Mwenyekiti wa...
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kero za wakulima Tanzania
Ukosefu wa soko la uhakika kwa wakulima na miundo mbinu duni ya barabara ni miongoni mwa changamoto kuu kwa wakulima Tanzania.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Kero la Fistula Tanzania
Haba na Haba inaangazia tatizo la Fistula nchini Tanzania ambavyo linaendelea kujitokeza.
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Mafao yaleta kero Tanzania
Kumekuwa na malalamiko nchini Tanzania kuhusiana na wabunge nchini humo kujiongezea mafao ya takriban dola za marekani laki moja.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Zambia, Tanzania sasa kuondoa kero mipakani
Serikali za Tanzania na Zambia zimeahidi kuboresha utendaji kazi kwenye vituo vya forodha katika mipaka ya Tunduma na Nakonde ili kuwawezesha wananchi kufanya biashara kwa faida.
9 years ago
Habarileo15 Oct
Vijana hawajui taratibu za uchaguzi
LICHA ya vijana na wanawake wengi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, imebainika wagombea wengi hawajui utaratibu wa uchaguzi na mbinu mkakati za kuwaletea ushindi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania