Kero za wakulima Tanzania
Ukosefu wa soko la uhakika kwa wakulima na miundo mbinu duni ya barabara ni miongoni mwa changamoto kuu kwa wakulima Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Bodi za mazao zatakiwa kutatua kero za wakulima
Bodi za mazao nchini zimetakiwa kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wakulima ili kuwajengea uwezo wa kuzalisha kwa wingi na kufikia mahitaji ya soko la ndani na nje.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Kero za wakulima wa miwa Mikumi zatafutiwa dawa
Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule maarufu kwa jina la ‘Profesa J’ amewaomba wakulima wa miwa wa bonde la Ruhembe kumpa wiki mbili za kujibu kero za Kiwanda cha Sukari Kilombero baada ya kukutana na viongozi wa kiwanda hicho na wa Serikali.
5 years ago
Michuzi11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ugawaji pembejeo Mtwara kero tupu, wakulima walia
“Wakulima wa korosho tunaweza kuboresha uchumi wetu kama Serikali itakuwa na nia madhubuti ya kukuza na kuwekeza katika kilimo.â€
11 years ago
BBCSwahili20 May
Kero la Fistula Tanzania
Haba na Haba inaangazia tatizo la Fistula nchini Tanzania ambavyo linaendelea kujitokeza.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Kero za vijana na Uchaguzi Tanzania
Kuna matatizo mbalimbali yanayowakumba vijana waliojiajiri kwenye biashara ndogondogo.
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Mafao yaleta kero Tanzania
Kumekuwa na malalamiko nchini Tanzania kuhusiana na wabunge nchini humo kujiongezea mafao ya takriban dola za marekani laki moja.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Zambia, Tanzania sasa kuondoa kero mipakani
Serikali za Tanzania na Zambia zimeahidi kuboresha utendaji kazi kwenye vituo vya forodha katika mipaka ya Tunduma na Nakonde ili kuwawezesha wananchi kufanya biashara kwa faida.
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Wakulima wanavyosumbuka Tanzania
Ukosefu wa soko la uhakika kwa wakulima na miundombinu mibovu ya barabara ni miongoni mwa changamoto kuu zilizojitokeza kwa wakulima huko nchini Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania