Wakulima wanavyosumbuka Tanzania
Ukosefu wa soko la uhakika kwa wakulima na miundombinu mibovu ya barabara ni miongoni mwa changamoto kuu zilizojitokeza kwa wakulima huko nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kero za wakulima Tanzania
11 years ago
GPL15 May
MKURUGENZI TANZANIA AWAELEZA WAMAREKANI UKOMBOZI WA WAKULIMA
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Lini wakulima wa Tanzania watasaidiwa wafurahie kilimo?
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Rais Kikwete azindua benki ya kwanza ya Wakulima Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua benki ya Maendeleo ya Kilimo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa uzinduzi wa benki ya Maendeleo ya Kilimo.
Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo, Thomas Samkyi akizungumza wakati wa uzinduzi wa benki ya wakulima Tanzania (TADB), uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu JK Nyerere.
Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RavWfrBXMSM/Vlb6fbbyvOI/AAAAAAAIId8/Bp2HsaeLxw4/s72-c/Chama_Cha_Wakulima_Logo.png)
Chama cha Wakulima Tanzania chaipongeza hotuba ya Rais Magufuli
![](http://1.bp.blogspot.com/-RavWfrBXMSM/Vlb6fbbyvOI/AAAAAAAIId8/Bp2HsaeLxw4/s320/Chama_Cha_Wakulima_Logo.png)
Chama cha Wakulima Tanzania (AFP) kimepongeza hotuba ya Rais wa awamu ya Tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli aliyoisoma wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11, Novemba 20 mwaka huu mjini Dodoma.
Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Mahusiano wa Makundi Maalum wa AFP Bw. Peter Sarungi ameeleza kuwa hotuba hiyo imesimama katika mambo ya msingi na yenye kuleta mabadiliko ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HgvHLWIP7tc/Xr-S3qc9YxI/AAAAAAABMGw/ssOsFtUqzdEESFt_MqjlGf0--Oq-ehVMgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
PARACHICHI, DHAHABU YA KIJANI INAYOWANUFAISHA ZAIDI YA WAKULIMA 10,000 TANZANIA
Ni dhahiri kwamba kwa muda mrefu tumekuwa tukiangalia Parachichi kama zao la kawaida hasa katika nchi yetu ya Tanzania. Kwa sasa zao hili limekuwa kati ya mazao makuu ya biashara kutoka Tanzania.
![](https://1.bp.blogspot.com/-HgvHLWIP7tc/Xr-S3qc9YxI/AAAAAAABMGw/ssOsFtUqzdEESFt_MqjlGf0--Oq-ehVMgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Ni Kweli kwamba zao hili linalopatikana kwa wingi Njombe, Iringa, Mbeya na Kilimanjaro lenye asili ya muda mrefu kutoka Guatemala Mexico sasa limekuwa kati ya mazao makubwa ya biashara duniani. Zao hili kwa sasa linaipatia nchi ya Tanzania takribani Shilingi Bilioni 27.6 kwa Mwaka ikiwa ni kutoka...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KKMopxOET0c/U-NP6DHyXUI/AAAAAAAF9u4/fwu0gJkkGKc/s72-c/unnamed+(62).jpg)
Wakulima Dodoma wasifu Ufanisi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KKMopxOET0c/U-NP6DHyXUI/AAAAAAAF9u4/fwu0gJkkGKc/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dwrPEEvqYI/U-NP6BxFO4I/AAAAAAAF9vA/kk0JWSu2qb8/s1600/unnamed+(64).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)