Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafao yaleta kero Tanzania

Kumekuwa na malalamiko nchini Tanzania kuhusiana na wabunge nchini humo kujiongezea mafao ya takriban dola za marekani laki moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Ushirikiano wa Tanzania na EU kwa miaka 40 yaleta mafanikio

Amani na ukomavu wa kidemokrasia tangu Tanzania ilipoanza kushiriki katika masuala mbalimbali ya maendeleo mwaka 1975 umeifanya nchi hii kuwa mfano wa kuigwa na mataifa mengine.

Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Filberto Sebregondi amesema katika kutimiza miaka 40 ya ushirikiano uliopo wanajivunia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya afya, elimu, miundombinu na maendeleo ya jamii.

Akizungumza jijini Dar es Salaam katika kusheherekea mwaka wa Ulaya kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Bayport Tanzania yaleta kicheko kwa watumishi wa umma

 Meneja Biashara wa Bayport Tanzania, Thabit Mndeme kushoto; na Meneja Masoko na Mawasiliano (katikati), Ngula Cheyo waki zinduwa Mkopo wa Bidhaa, Bayport Head office Daressalaam.=====  =====  ===== TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania, leo imezindua huduma mpya ijulikanayo kama Mikopo ya Bidhaa ikiwa na lengo la kurahisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wote wa kampuni zilizoidhinishwa na Bayport.
Uzinduzi huo uliofanyika jana, umeonyesha matumaini mapya ya Watanzania...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA TANZANIA

 Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB anayeshughulika na huduma ya China Deski, Ibrahim Masahi (kulia), akitoa ufafanuzi kuhusu huduma maalum za kibenki kwa ajili ya kusaidia wafanyabiashara na wawekezaji wa China na Tanzania, wakati wa maonyesho ya bidhaa za China yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.    Baadhi ya wateja wakisoma vipeperushi vyenye taarifa muhimu za Benki ya CRDB kuhusu huduma maalum ya China Deski. Baadhi ya watu waliofika katika banda la CRDB wakati wa maonyesho ya bidhaa za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la Fistula Tanzania

Haba na Haba inaangazia tatizo la Fistula nchini Tanzania ambavyo linaendelea kujitokeza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero za wakulima Tanzania

Ukosefu wa soko la uhakika kwa wakulima na miundo mbinu duni ya barabara ni miongoni mwa changamoto kuu kwa wakulima Tanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kero za vijana na Uchaguzi Tanzania

Kuna matatizo mbalimbali yanayowakumba vijana waliojiajiri kwenye biashara ndogondogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Zambia, Tanzania sasa kuondoa kero mipakani

Serikali za Tanzania na Zambia zimeahidi kuboresha utendaji kazi kwenye vituo vya forodha katika mipaka ya Tunduma na Nakonde ili kuwawezesha wananchi kufanya biashara kwa faida.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wastaafu wataka mafao

WASTAAFU wa iliyokuwa Tanganyika Packers, wameitaka serikali kuwalipa mafao yao kabla ya kuruhusu Shirika la Nyumba (NHC), kubomoa nyumba zao. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, wazee...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yapinga punguzo la mafao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimepinga vikali punguzo la mafao ya wastaafu wanachama wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na watumishi wanachama wa LAPF. Akizungumza na waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani