Mafao yaleta kero Tanzania
Kumekuwa na malalamiko nchini Tanzania kuhusiana na wabunge nchini humo kujiongezea mafao ya takriban dola za marekani laki moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
Ushirikiano wa Tanzania na EU kwa miaka 40 yaleta mafanikio
Amani na ukomavu wa kidemokrasia tangu Tanzania ilipoanza kushiriki katika masuala mbalimbali ya maendeleo mwaka 1975 umeifanya nchi hii kuwa mfano wa kuigwa na mataifa mengine.
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Filberto Sebregondi amesema katika kutimiza miaka 40 ya ushirikiano uliopo wanajivunia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya afya, elimu, miundombinu na maendeleo ya jamii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika kusheherekea mwaka wa Ulaya kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bRmRucKquxI/VD5gDHLNwgI/AAAAAAACsy8/fVjDlEm03mc/s72-c/Asset%2BFinance%2BLaunch%2B-%2B1.jpg)
Bayport Tanzania yaleta kicheko kwa watumishi wa umma
![](http://4.bp.blogspot.com/-bRmRucKquxI/VD5gDHLNwgI/AAAAAAACsy8/fVjDlEm03mc/s1600/Asset%2BFinance%2BLaunch%2B-%2B1.jpg)
Uzinduzi huo uliofanyika jana, umeonyesha matumaini mapya ya Watanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s72-c/Pg.2.jpg)
BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s1600/Pg.2.jpg)
11 years ago
BBCSwahili20 May
Kero la Fistula Tanzania
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kero za wakulima Tanzania
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Kero za vijana na Uchaguzi Tanzania
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Zambia, Tanzania sasa kuondoa kero mipakani
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Wastaafu wataka mafao
WASTAAFU wa iliyokuwa Tanganyika Packers, wameitaka serikali kuwalipa mafao yao kabla ya kuruhusu Shirika la Nyumba (NHC), kubomoa nyumba zao. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, wazee...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
CWT yapinga punguzo la mafao
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimepinga vikali punguzo la mafao ya wastaafu wanachama wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na watumishi wanachama wa LAPF. Akizungumza na waandishi wa...