Vijana na siasa za usindikizaji
Mazingira yamebadilika na hadhira ya kisiasa imechukua muelekeo mpya. Kwenye uwanja wa siasa pesa ndio msingi mkuu, huna pesa huna chako! na kwa maana hiyo kiungo kati ya wananchi na wanasiasa ni pesa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Sep
UN yaonya vijana na siasa za chuki
UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Ushabiki unavyowatesa vijana katika siasa
11 years ago
Mwananchi03 Sep
Je, vijana wataimudu mikiki ya siasa 2015?
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko
VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Vijana walia na mfumo vyama vya siasa
BAADHI ya vijana mjini hapa, wamedai kuwa mfumo uliopo kwenye vyama vya siasa unawanyima kupata fursa ya kugombea kwenye chaguzi mbalimbali. Hayo yamebainishwa juzi mjini Kibaha na baadhi ya vijana...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Zambi: Ushabiki wa siasa si suluhu ya kero za vijana
11 years ago
Habarileo11 Dec
'Vijana acheni utumwa wa vyama vya siasa'
VIJANA nchini wametakiwa kuachana na utumwa wa majina ya vyama vya siasa nakuanza kutafakari mustakabali wa Taifa. Aidha vijana na wazee kwa maslahi ya taifa wanatakiwa kuachana na siasa ya majitaka.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
MJADALA: Je, vijana nchini waache kushiriki kwenye siasa?
11 years ago
Mwananchi30 Apr
KUTOKA ZANZIBAR: Nani kawaroga vijana wetu wanaoshiriki siasa?