Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cannavaro, Yondani chunga huyu Baghdad

Hata kabla ya Etoile du Sahel kutua nchini leo, nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na beki wake wa kati, Kelvin Yondani wametakiwa kucheza kwa umakini na tahadhari ya hali juu dhidi ya mshambuliaji Baghdad Bounedjan anayevaa jezi namba 9.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amewataka mabeki Ligi Kuu wakiwamo wa klabu yake, Kelvin Yondani na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ waige aina ya ukabaji wa beki wa Azam, Pascal Wawa.

 

10 years ago

GPL

Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga

Beki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani Na Waandishi Wetu
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga, ikizidi kupamba moto, mabeki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani na nahodha, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wametupwa nje ya kikosi hicho baada kushindwa kufanya mazoezi na timu hiyo kutokana na kupata majeraha. Katika mazoezi ya jana asubuhi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Dar, Yondani alianza...

 

10 years ago

Mtanzania

Cannavaro, Yondani wapewa uchawi wa Kiongera, Tambwe

Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

KOCHA wa timu ya Yanga Mbrazil, Marcio Maximo, ni kama amesikia ubora wa washambuliaji wa Simba SC, Paul Kiongera na Amisi Tambwe, hivi sasa ameanza kuwapa programu maalumu mabeki wake wa kati, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani, kuhakikisha wanakabiliana na mashambulizi yoyote ya timu pinzani.

Mshambuliaji mpya wa Simba, Kiongera ambaye ni Mkenya, anasifika kwa uwezo wake mkubwa wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chunga usiwe mwathiriwa wa mapenzi mitandaoni

Polisi nchini Ufilipino, wamewakamata washukiwa wa uhalifu katika mitandao ambao ni sehemu ya kikundi cha watu wanaowahadaa watu kwa njia ya mapenzi.

 

10 years ago

GPL

TID CHUNGA SANA ISHU ZA UBABEUBABE!

KWAKO mkali wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’ mambo vipi mzee? Kitambo kidogo sijakutia machoni. Mara nyingi nakuona kupitia vyombo vya habari. Naamini u-mzima wa afya.Ukitaka kujua hali yangu, mimi pia sijambo naendelea na mishemishe za mjini si unajua mjini mipango, tupo kama kawa. Mazungumzo baada ya salamu hizo, nataka nikupe dhumuni la barua hii. Nimekuandika barua hii nikiwa na mambo mawili ya msingi.La...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Music: Lady Queen Ft Enock Bella – Chunga Mzigo

Lady Queen 2

Hii ni Track mpya kutoka kwa Lady Queen amemshirikisha kijana Enock Bella kutoka (Yamoto Band), Wimbo unaitwa “Chunga Mzigo”. Producer Shirko.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

RAY CHUNGA SANA HIYO BASTOLA YAKO BROO!

WAKATI mwingine kazi yetu hii ni ya lawama, kwa sababu kuna wakati unalazimika kuandika kitu cha kweli kuhusu rafiki, ndugu au jamaa yako, lakini ukijua fika hatakipenda na huenda, ikaweza hata kuharibu uhusiano wenu. Vicent Kigosi maarufu kama Ray, ni mmoja wa watu ambao nimewahi kuwa naye karibu kikazi, kiasi kwamba tulijenga aina flani ya ushkaji, ingawa ukaribu wetu kwa miaka ya karibuni umedorora kutokana na wakati, kwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani