TID CHUNGA SANA ISHU ZA UBABEUBABE!
KWAKO mkali wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’ mambo vipi mzee? Kitambo kidogo sijakutia machoni. Mara nyingi nakuona kupitia vyombo vya habari. Naamini u-mzima wa afya.Ukitaka kujua hali yangu, mimi pia sijambo naendelea na mishemishe za mjini si unajua mjini mipango, tupo kama kawa. Mazungumzo baada ya salamu hizo, nataka nikupe dhumuni la barua hii. Nimekuandika barua hii nikiwa na mambo mawili ya msingi.La...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLRAY CHUNGA SANA HIYO BASTOLA YAKO BROO!
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Cannavaro, Yondani chunga huyu Baghdad
11 years ago
BBCSwahili02 May
Chunga usiwe mwathiriwa wa mapenzi mitandaoni
10 years ago
Michuzi18 Jan
9 years ago
Bongo512 Dec
Music: Lady Queen Ft Enock Bella – Chunga Mzigo
Hii ni Track mpya kutoka kwa Lady Queen amemshirikisha kijana Enock Bella kutoka (Yamoto Band), Wimbo unaitwa “Chunga Mzigo”. Producer Shirko.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.
“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.
Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...
10 years ago
Jamtz.Com10 years ago
Michuzi11 years ago
CloudsFM01 Jul
TID AMTUSI RAY C
Staa kitambo kwenye game la Bongo Fleva,TID Mnyama amegeuka mbogo baada ya msanii mwenzake Rehema Chalamila’Ray C’ kumuomba kupitia account yake ya Instagram wazungumze.Ray C aliandika hivi: “Come let’s talk Tid ur the best musian in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Aliandika Ray C.Ingawa Ray C hakufafanua katika comment yake aliyoiweka kwenye post ya picha ya TID inayotambulisha Refix ya wimbo wake ‘Asha ‘ uliofanywa na Lamar, TID aliporomosha matusi akimtaka aachana nae kabisa. Hata...