Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini uvae kofia isiyokutosha?

Kuna ua fulani ambalo utotoni mwetu tuliliita ‘Don’t Touch’. Lilifanana kimaumbile na waridi. Ikitokea nyuki akaligusa kwa nia ya kufyonza utamu wa chavua, lilijifunga kuficha mbegu na utamu wake usifyonzwe. Pia lilifanya vivyo hivyo kwa binadamu au kiumbe yeyote lilipomhisi akitaka kulihujumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ifahamu sababu ya Ne-Yo kuvaa kofia muda wote, tazama picha zake bila kofia

Umeshawahi kujiuliza kwanini muimbaji wa R&B wa Marekani, Ne-Yo huwa haachi kuvaa kofia kila anapoonekana? Ipo sababu ya kufanya hivyo. Ne-Yo ambaye yupo nchini Kenya kushiriki kwenye kipindi cha Coke Studio Africa, alikutana na swali la huwa anaficha kitu gani chini ya kofia yake? Alianza kujibu kwa utani “Nilipokuwa mdogo, nilipata ajali mbaya sana-Natania” akaendelea […]

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yatoa msaada wa mafuta, kofia, pikipiki na kompyuta kwa albino

Mkuu Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Mussa Jallow (wa tano kulia) akikabidhi msaada wa pikipiki kwa Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Mkoa wa Pwani, Thomas Diwani Mponda katika hafla ambayo NBC pia ilikikabidhi msaada wa hundi ya shs milioni 3.2, kompyuta, kofia na mafuta maalumu ya ngozi vikiwa na lengo la kuwasaidia na matatizo yanayowakabili kutokana na hali hiyo inayotokana na kurithi vinasaba kutoka kwa wazazi. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei...

 

11 years ago

Mwananchi

Swita amvulia kofia Yondani

Kiungo wa JKT Ruvu, Emmanuel Swita amemtaja nahodha wa Kilimanjaro Stars, Kelvin Yondani kuwa ndiye mchezaji bora wa kikosi hicho kilichoshiriki michuano ya Chalenji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Plujim amvulia kofia Msuva

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Plujim, amekiri Ligi Kuu ya Vodacom iliyoisha ilikuwa ngumu huku akidai kuwa mchezaji bora wa timu yake kwa muda aliokuwepo Jangwani ni mshambuliaji chipukizi, Simon...

 

10 years ago

GPL

MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND

Musa Mateja
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kagame amvulia kofia JPM

Rais Paul Kagame wa Rwanda amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua ambazo anazichukua, hasa katika usimamizi na utendaji kazi wa Bandari ya Dar es Salaam na kumhakikishia kuwa nchi yake iko tayari kushirikiana na Tanzania hasa katika sekta hiyo ya usafirishaji.     

 

9 years ago

Mtanzania

Shamsa amvulia kofia Irene Uwoya

Shamsa_Ford_02NA THERESIA GASPER

MSANII wa filamu nchini, Shamsa Ford, amesema katika wasanii ambao anawakubali kutokana na ubora wa kazi zao mmojawapo ni Irene Uwoya.

Shamsa alisema msanii huyo anajua nini anachofanya na anapenda kupeana ushauri na kushirikiana katika mambo mbalimbali na wenzake.

Shamsa aliyasema hayo alipokuwa akimkabidhi zawadi Irene katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwake Sinza, Dar es Salaam.

“Tabia yangu na ya Irene inaendana kwani...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kofia ya Mugabe yamponza afisa wa chuo

Afisa mmoja Chuo Kikuu cha Zimbabwe amesimamishwa kazi baada yake kudaiwa kumpa Rais Mugabe kofia ndogo sana wakati wa mahafali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani