Wanafunzi UDSM walivyotafsiri simulizi ya rafiki wa kweli vitendo
Waswahili wahusema rafiki wa kweli ni yule anayekufaa wakati wa faraja na dhiki. Ingawa watu wengi wanaufahamu msemo huo, inawezekana si wote waliowahi kunufaika au kuwanufaisha marafiki au ndugu zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wolper: Mama Ndio Rafiki wa Kweli!
Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.
“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama tuwapende nakuwalinda napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.
Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xIOMQ6s-cJc/VJkvPxnRYMI/AAAAAAAA0Eg/Y8OrBKdJVHo/s72-c/MKASIIIR.jpg)
KISA NI KOFIA KWELI AU ALIKUWA NA LINGINE RAFIKI HUYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-xIOMQ6s-cJc/VJkvPxnRYMI/AAAAAAAA0Eg/Y8OrBKdJVHo/s640/MKASIIIR.jpg)
Okpara...
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!
The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka
“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
Simulizi ya Kweli: Miguu Yangu Iliungua na Moto-Esha Buheti
Ukimuona mtu mzima ujue kapitia mengi kisome hapa kisa cha mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Esha Buheti kuungua na moto miguuni. Esha anaeleza..
Tarehe kama ye leo (jana) nikiwa nipo darasa la nne nakumbuka nimetoka shule nikawa naenda mtoni kuchota maji , wakati naelekea mtoni njiani nikaona sehemu imetulia kuna kama mchanga mweupeee kwakua nilikua sijui akili ikaniambia ule ni mchanga wa beach.
Nikaacha kufata maji nikaenda mpaka pale kwenye ile sehemu nikawa najiuliza hiki nini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AxjLN2ok5Ys/Vj718tQ2j2I/AAAAAAAIE2o/_Kw0TZesyPo/s72-c/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
SBL yafadhili wanafunzi UDSM
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Wanafunzi UDSM wamnunulia gari mwenzao