Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi UDSM walivyotafsiri simulizi ya rafiki wa kweli vitendo

Waswahili wahusema rafiki wa kweli ni yule anayekufaa wakati wa faraja na dhiki. Ingawa watu wengi wanaufahamu msemo huo, inawezekana si wote waliowahi kunufaika au kuwanufaisha marafiki au ndugu zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo

Mnyama Ngiri akiwa amejipumzisha kwenye tope kama alivyokutwa na kamera yetu.

Baadhi ya Wanafunzi  wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.

Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...

 

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Mama Ndio Rafiki wa Kweli!

Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.

“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama  tuwapende nakuwalinda  napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.

Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.

 

10 years ago

Vijimambo

KISA NI KOFIA KWELI AU ALIKUWA NA LINGINE RAFIKI HUYU

Ugomvi wao ulianza kama utani, mmoja hakupendezwa na utani huo, hata alipokasirika mwenzake alidhani utani unaendelea, Agwugho akajikuta akifanya uamuzi ambao ulipelekea rafiki yake kufariki. Polisi wa Lagos, Nigeria wamesema wamemkamata mtuhumiwa Joseph Agwughokwa tuhuma za kumuua rafiki yake Enya Okpara, kwa kumchoma na mkasi rafiki yake, uchunguzi unaonyesha Agwugho na Okpara walikuwa wakigombania kofia ndipo mtuhumiwa alipochukua mkasi na kumchoma nao marehemu shingoni mara tatu. 

Okpara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka

“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...

 

11 years ago

Bongo Movies

Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.

 

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”

Kajala alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Simulizi ya Kweli: Miguu Yangu Iliungua na Moto-Esha Buheti

Ukimuona mtu mzima ujue kapitia mengi kisome hapa kisa cha mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Esha Buheti kuungua na moto miguuni. Esha anaeleza..

Tarehe kama ye leo (jana) nikiwa nipo darasa la nne nakumbuka nimetoka shule nikawa naenda mtoni kuchota maji , wakati naelekea mtoni njiani nikaona sehemu imetulia kuna kama mchanga mweupeee kwakua nilikua sijui akili ikaniambia ule ni mchanga wa beach.

Nikaacha kufata maji nikaenda mpaka pale kwenye ile sehemu nikawa najiuliza hiki nini...

 

9 years ago

Michuzi

SBL yafadhili wanafunzi UDSM

Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kupanua wigo wa elimu Tanzania, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imetoa ufadhili kwa wanafunzi wahitaji katika masomo ya chuo kikuu.  Wanafunzi hao waliofaulu daraja la kwanza wanaanza masomo yao mwaka huu wa masomo katika chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Wanafunzi waliopata ufadhili huo ni Michael Daniel na Consolatha Mushi wanaokwenda kusomea uhandisi wa ujenzi na Lisa Kalokola anayekwenda kusomea uhandisi wa madini katika chuo...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi UDSM wamnunulia gari mwenzao

Wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) wamemnunulia mwenzao, Malangwa Machibya gari ili kumwezesha kuendelea na masomo baada ya kuumia mguu katika ajali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani