SBL yafadhili wanafunzi UDSM
![](http://2.bp.blogspot.com/-AxjLN2ok5Ys/Vj718tQ2j2I/AAAAAAAIE2o/_Kw0TZesyPo/s72-c/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kupanua wigo wa elimu Tanzania, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imetoa ufadhili kwa wanafunzi wahitaji katika masomo ya chuo kikuu. Wanafunzi hao waliofaulu daraja la kwanza wanaanza masomo yao mwaka huu wa masomo katika chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Wanafunzi waliopata ufadhili huo ni Michael Daniel na Consolatha Mushi wanaokwenda kusomea uhandisi wa ujenzi na Lisa Kalokola anayekwenda kusomea uhandisi wa madini katika chuo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Wanafunzi UDSM wamnunulia gari mwenzao
10 years ago
Vijimambo20 May
Wanafunzi UDSM wapigwa mabomu wakidai mikopo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Cosmas-20MAY2015.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), wanaoishi katika hosteli za Mabibo ambao walikuwa wakiandamana kudai fedha zao za kujikimu.
Walichukua hatua hiyo kutokana na kucheleweshewa mikopo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HELSB).
Tukio hilo lilitokea usiku walipoandamana kudai wawekewe fedha kwenye akaunti zao...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Ajali ya Majinjah yaondoka na wanafunzi watano UDSM
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Wanafunzi UDSM walivyotafsiri simulizi ya rafiki wa kweli vitendo
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-2tKS7ryZ_IM/U3e1c2nnK_I/AAAAAAAAF7c/hNdQtsxDa_Q/s1600/IMG_20140517_210243.jpg)
WANAFUNZI WA SJMC UDSM WAPATA NAFASI YA KUONESHA VIPAJI VYAO VIWANJA VYA POSTA, KIJITONYAMA
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zYE91wA1-JU/VV3uJbvoJ5I/AAAAAAAAT24/NNA388Wvggg/s72-c/UDOM4.jpg)
WANAFUNZI UDOM, DUCE WAGOMA, MADAI NI KAMA YALE YA WENZAO WA UDSM. WANADAI MIKOPO ITOLEWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-zYE91wA1-JU/VV3uJbvoJ5I/AAAAAAAAT24/NNA388Wvggg/s640/UDOM4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
UNESCO yafadhili maendeleo ya sayansi Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye mahafali ya pili ya Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia yaliyofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Mwandishi Wetu, Arusha
SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limesema linafanyakazi na nchi 20 za Afrika kutengeneza mifumo ya kitaifa ya sayansi, teknolojia kusaidia mataifa hayo kufikia malengo yao ya...