Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYA MASTA UPENDWE NA KILA MTU KWANI WEWE PESA?

Oyooo…Mambo vipi masela? Kitaa hii barida. Ama nini? Tudei kama nina mizuka f’lani hivi. Ndo kama hivo makachaa nimeshatokelezea kukisanua hapa jamvini aisee arifu. Kwani kuna kwikwi? Haina kwere chaliiangu. Hivi mazee wana hawana mastori mengine ya kupiga mawe au mshiko kwa njia freshi? Maana masela taimu yote hapa kwa kijiweni kwetu chitichati kibwena ni za mastori fekelo kama ishu za mashori, malavu, kitu cha soka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?

INAUMA kidogo kuandika kuhusu mtu ambaye umefanya naye kazi kwa karibu kwa kipindi kirefu, anapoendelea kuripotiwa kufanya matukio yanayotofautiana na nafasi yake katika jamii. Na inauma zaidi, vitendo hivyo vinavyoripotiwa kufanywa naye, mwisho wa siku vinaweza kumfanya akajikuta yupo chini ya vyombo vya sheria. Hapa ninamzungumzia Khalid Mohamed, yule kijana wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam anayefahamika zaidi kwa jina la...

 

10 years ago

Bongo5

Music: Dully Sykes — Kwani wewe ni Nani?

Msanii nguli wa Bongo Fleva Dully Sykes amechia wimbo mpya unaitwa “Kwani wewe ni Nani?”. Studio za 4:12 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Nikulidhishe Kwani Wewe Unanilidhisha!!!!-Lulu

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth  Michale ‘Lulu’ amewatolea uvivu baadhi ya followers wake kwenye mtandao wa Instagram ambao huwa wana DIS kila anachokiweka.

Akionyesha hali ya kutokujali, mwanadada huyo alibandika picha hiyo hapo juu mtandaoni  na kundika;

“Lego get em….. Nikuridhishe Kwani we unaniridhisha!???Am Soleeee...!”

Ujumbe ambao uliugwa mkono na followers wengi na kuwa ‘tag’baadhi ya wale ambao kazi yako wao ni kumponda tu bidada huyu.

Nadhani ujumbe umefika!!!.. Ila...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DULLY SYKES - KWANI WEWE NI NANI? (Download)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA HASARA ROHO, PESA MAKARATASI!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Ama nini? Imekaaje kitaa hiyo ya kona mbaya kwa fasi ya Roki Siti? Kipande hii Bongo tambarare nini na nini sema ndo hivo washkaji wanakaza kidizaini f’lani hivi. Enewei, kama vipi barida!
Wazazi ishu za ajali zinazingua kinoma wanangu. Nini kimehapeni masela? Ngoja nitumie chansi hii kuwapa sori wale wote mliolosti ndugu, jamaa na mafrendis. Tugetha tuseme r.i.p kwa wana waliolosti laifu....

 

11 years ago

Michuzi

Mwananchi wa Kata Pera waridhishwa na hotuba za Ridhiwani Kikwete,kwani zinawagusa katika kila nyanja

Mwananchi wa Kata Pera waahidi kumpigia kura Ridhiwani Kikwete tarehe 6 mwezi wa nne baada ya kuridhishwa na Hotuba zake zinazogusa changamoto zao kama elimu, maji, zahanati, barabara na namna atakavyoboresha miundo mbinu ya jimbo la Chalinze na kuwasaidia wafugaji katika suala zima la kuongeza majosho ya mifugo.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete  akihutubia wakazi wa kijiji cha Pera wakati wa mkutano wa kampeni za Ubunge Jimbo la Chalinze, Ridhiwani aliwaambia...

 

10 years ago

Vijimambo

WASIRA AMESEMA ...TOKEA ATANGAZE NIA ANAKULA SANA ZAIDI YA UWEZO WAKE ...KWANI NJAA UUMA KILA WAKATI


Ikiwa yamebaki masaa machache mchakato wa chuja chuja Mh Steven Wasira amedai anakula kuliko kawaida na kulala ipasavyo hana tatizo la kukosa usingizi,Ametoa dodoso hilo alipo ulizwa swali na mwandishi wa habari nguli wa Azam tv Chalz Hilaly.Hana hofu juu ya mchakato huo anaamini viongozi watasimamia maadili na kufata sheria.

 

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?

NIMEWAHI kuzungumza mara kadhaa katika safu hii kuhusu huyu binti, mtoto wa nguli wa zamani wa soka Tanzania, Ezekiel Greyson ‘Jujuman’, aliyevuma sana akiwa na Simba. Anaitwa Aunt Ezekiel, staa wa filamu za Kibongo! Nilisema kuwa katika tasnia ya filamu, ni muigizaji mzuri kwa kupamba sinema kutokana na uzuri wa sura na umbo lake, lakini katika wasanii wanaotakiwa kwa weledi na viwango, bado ni mtu wa kati, ingawa...

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA MAPENZI PESA DIAMOND NA NAY WA MITEGO JITIRIRISHE NA WEWE KIROHO SAFI

Ni kweli mapenzi pesa au ufundi? kama ufundi basi nenda veta


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani