Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASIRA AMESEMA ...TOKEA ATANGAZE NIA ANAKULA SANA ZAIDI YA UWEZO WAKE ...KWANI NJAA UUMA KILA WAKATI


Ikiwa yamebaki masaa machache mchakato wa chuja chuja Mh Steven Wasira amedai anakula kuliko kawaida na kulala ipasavyo hana tatizo la kukosa usingizi,Ametoa dodoso hilo alipo ulizwa swali na mwandishi wa habari nguli wa Azam tv Chalz Hilaly.Hana hofu juu ya mchakato huo anaamini viongozi watasimamia maadili na kufata sheria.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watu zaidi ya 700 waandamana kwenda kwa Lowassa kumshawishi atangaze nia ya kugombea Urais 2015

SAM_4290

Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la Monduli  hii leo.

SAM_4318

Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la Monduli.

SAM_4337

Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi Waziri Mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha...

 

10 years ago

Michuzi

WATU ZAIDI YA 700 WAANDAMANA KWENDA KWA LOWASA KUMSHAWISHI ATANGAZE NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015


 makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwawanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la monduli  hii leo

Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro  (TLB), Protas Soka Akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli  Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi waziri mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha yenye fedha...

 

10 years ago

Vijimambo

WAANDAMANA KWENDA KWA LOWASA KUMSHAWISHI ATANGAZE NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015

Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la monduli hii leoKatibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka Akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi waziri mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha yenye fedha...

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol aeleza kwanini hataki kuonekana na mpenzi wake kila wakati

Ben Pol amesema ataamua kutembea kila sehemu na mpenzi wake baada ya kuona anakaribia kufunga naye ndoa. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa, kitu anachoogopa ni kuonekana mara kwa mara na mtu halafu siku chache watu wasikie wameachana. “Kusema ukweli nahisi bado,” amesema. “Unajua mpaka uanze kutembea na mtu kwenye public mpaka ujiridhishe vitu fulani fulani […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton amesema kuwa hana nia yoyote ya 'kuihama' Mercedes.

Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton anasema kwa sasa hafikirii kuhama kwenye timu yake ya Mercedes.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

10 years ago

GPL

OYA MASTA UPENDWE NA KILA MTU KWANI WEWE PESA?

Oyooo…Mambo vipi masela? Kitaa hii barida. Ama nini? Tudei kama nina mizuka f’lani hivi. Ndo kama hivo makachaa nimeshatokelezea kukisanua hapa jamvini aisee arifu. Kwani kuna kwikwi? Haina kwere chaliiangu. Hivi mazee wana hawana mastori mengine ya kupiga mawe au mshiko kwa njia freshi? Maana masela taimu yote hapa kwa kijiweni kwetu chitichati kibwena ni za mastori fekelo kama ishu za mashori, malavu, kitu cha soka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani