Eid 2: TID kumdondosha Naziz kwenye ‘listening party’ ya album yake mpya ‘Mnyama na Wanyama’
Top in Dar, Khalid Mohamed atafanya party ya kusikiliza album yake mpya ‘Mnyama na Wanyama’ siku ya Eid Pili kwenye ukumbi wa Dar Live jijini Dar es Salaam. Katika party hiyo, rapper wa kundi la Necessary Noize la Kenya, Naziz ambaye ameshirikishwa pia kwenye album hiyo atakuwepo kumsindikiza. TID ameiambia Bongo5 kuwa uzinduzi rasmi wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
10 years ago
Vijimambo03 Jun
TANZANIAN RAPPER FID Q ALBUM LISTENING PARTY AT NAIROBI RAPSODY - THUR JUNE 4TH
Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4th June) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...
10 years ago
Vijimambo03 Jun
PRESS RELEASE: NAIROBI RAPSODY PRESENTS EXCLUSIVE FID Q ALBUM LISTENING PARTY (June 4th)
After a successful event with Brooklyn, NY hip hop artist Yasiin Bey (Mosdef) in his first East African showcase, Nairobi Rapsody is back this Thursday (4th June) with Tanzania’s hip hop wordsmith - FID Q.Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4th June) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...
10 years ago
Michuzi03 Jun
EXCLUSIVE: TANZANIAN RAPPER FID Q ALBUM LISTENING PARTY AT NAIROBI RAPSODY - THUR JUNE 4TH
Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4thJune) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuBpwszQ1aTpBwQ-BwuGqGcGD-N9PSR8j0LAQNopGhe4xBgkrxWpQ4nJEpl00EKtdeURMcDnM7s-ueD1T514SkjY/FinalkutandFidQFACEBOOK.jpg?width=650)
NAIROBI RAPSODY PRESENTS EXCLUSIVE FID Q ALBUM LISTENING PARTY - THUR JUNE 4TH
9 years ago
Bongo512 Nov
Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya
![runtown n dj khaled](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/runtown-n-dj-khaled-300x194.jpg)
Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.
Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.
Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...
9 years ago
Bongo514 Nov
Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake
![K.O](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/K.O-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.
K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.
Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.
Ding Dong | tayotv Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
Bongo529 Oct
Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’