Watu 17 kortini kwa ugaidi
NA MWANDISHI WETU
WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kuwaingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi na kusaidia na kuwezesha kufanyika.
Jihad Swalehe, mmoja wa washitakiwa waliofikishwa mahakamani hapo jana saa 7.20 mchana chini ya ulinzi mkali wa polisi, alisomewa mashitaka peke yake ya kula njama za kusaidia na kuwezesha kufanyika vitendo vya kigaidi.
Washitakiwa wengine ni wanaohusika na mashitaka ya kula...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Jul
17 kortini kwa ugaidi
WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
UHALIFU: 19 kortini kwa ugaidi
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Watu 26 kunyongwa Misri kwa Ugaidi
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Watu 17 Dar kizimbani kwa ugaidi
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Watu 5 kortini kwa mauaji Uchina
11 years ago
Mwananchi24 Jul
SHERIA: Watu sita wapandishwa kizimbani kwa ugaidi
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Polisi yakamata watu 38 wanaotuhumiwa kwa ujambazi, ugaidi
11 years ago
Michuzi17 Jul
watu 16 wafikishwa mahakama ya kisutu kwa tuhuma za ugaidi leo
10 years ago
Habarileo21 May
Watuhumiwa 25 wa ugaidi kortini Moro
WATU 25 wanaotuhumiwa kwa vitendo vya ugaidi katika Tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero mkoa wa Morogoro, wamepandishwa kizimbani.