Gari la uhamiaji lakamatwa na dizeli
GARI la uhamiaji mkoani Geita limekamatwa katika mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) likiwa na dizeli pamoja na kiroba cha mchanga. Siku chache zilizopita gari la kubeba wagonjwa katika Kituo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOBA6A33LRnghk4v8Hn6NWv9Woil95avHuY-9LGbOgKNw3Z-yoODWrVytiyXqEHsHnXv-*W1XNM52ORWYP2PnIw/gari.jpg)
GARI LA MTOTO WA MALECELA LAKAMATWA
Stori:Â Joseph Shaluwa
MKURUGENZI wa Kampuni ya Ntyuka Security ya mjini Dodoma, Samwel Malecela ameingia matatani baada ya gari lake aina ya Toyota Prado kukamatwa kwa ajili ya kupigwa mnada kutokana na kukabiliwa na madeni. Â Mkurugenzi wa Kampuni ya Ntyuka Security ya mjini Dodoma, Samwel Malecela. Samwel ni mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Mhe. John Malecela ambaye pia aliwahi kuwa mbunge katika Jimbo la Mtera kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOsuyikhCijCd**YNku3J*PRUY1Xs5xMfMgw-0v1nifJvBg2KcMtlkqN3zhDF7ELpflVSk6N00tx3f1q8gEcym9/dude.jpg)
GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI
Stori: waandishi wetu
GARI la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ limekamatwa na Polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama Mpakani usiku wa saa 5.15 Julai 21 mwaka huu. Gari la dude muda mfupi baada ya kukamatwa, Dude alitokea Polisi. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, gari hilo aina ya Vitz lenye namba za usajili T 360 BAJ, lilikutwa...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Gari la kigogo Bodi ya Kahawa lakamatwa Dar es Salaam
Gari binafsi la Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Injinia Adolf Kumburu lililoibwa na watu wasiojulikana mjini Moshi, Oktoba mwaka jana, limekamatwa jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ldvENWuoabo/UrvPGm4t29I/AAAAAAAAnZc/IyO96HYhnRc/s640/1.png?width=640)
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Bei ya petroli, dizeli yashuka
Bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli zimeshuka kuanzia leo. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza jana kuwa bei za rejareja zimepungua kwa Sh79 kwa lita ya petroli sawa na asilimia 4.01, dizeli Sh76 kwa lita sawa na asilimia 4.20 na mafuta ya taa Sh66 kwa lita sawa na asilimia 3.73.
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kodi ya petroli, dizeli juu
SERIKALI imetangaza kuongeza tozo ya mafuta ya petroli na dizeli ili fedha zitakazopatikana, zikatunishe mfuko wa kusambaza nishati vijijini.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli
Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza kushuka kwa bei ya rejareja ya mafuta aina ya petroli ambapo kuanzia leo Desemba 2, petrol imeshuka kwa Sh28 kwa lita, sawa na asilimia 1.38, huku bei ya dizeli ikishuka kwa Sh56 kwa lita sawa na asilimia 2.96.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania