Bei ya petroli, dizeli yashuka
Bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli zimeshuka kuanzia leo. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza jana kuwa bei za rejareja zimepungua kwa Sh79 kwa lita ya petroli sawa na asilimia 4.01, dizeli Sh76 kwa lita sawa na asilimia 4.20 na mafuta ya taa Sh66 kwa lita sawa na asilimia 3.73.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania06 May
Mafuta ya petroli, dizeli bei juu
GRACE SHITUNDU NA TUNU NASSOR,
DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya itakayoanza kutumika leo ambapo mafuta ya petroli na dizeli yamepanda huku mafuta ya taa yakishuka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Mawasiliano na Uhusiano EWURA, Titus Kaguo, alisema bei ya jumla na rejareja ya mafuta aina zote imebadilika ikilinganishwa na bei elekezi iliyotolewa Aprili, mwaka huu.
Alisema bei ya rejareja kwa mafuta ya petroli imeongezeka kwa Sh...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Bei ya petroli yashuka tena
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kodi ya petroli, dizeli juu
SERIKALI imetangaza kuongeza tozo ya mafuta ya petroli na dizeli ili fedha zitakazopatikana, zikatunishe mfuko wa kusambaza nishati vijijini.
11 years ago
Habarileo21 May
Ubora wa petroli, dizeli Tanzania ni wa juu -Ewura
TANZANIA inaongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na bidhaa bora zaidi ya mafuta ya petroli na dizeli yenye kiwango kidogo cha kemikali cha salfa na ifikapo Januari mwakani, ubora utaongezeka mara dufu.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Bei ya umeme yashuka
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushusha bei ya nishati ya umeme kwa watumiaji wakubwa wa majumbani wanaotumia zaidi ya uniti 75 kwa mwezi pamoja na viwanda vikubwa na vya kati.
Tangazo la kushushwa kwa bei ya nishati ya umeme limetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felex Ngamlagosi, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyikia jana ofisini kwake, Dar es Salaam.
Alisema punguzo hilo limezingatia gharama za...
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Bei ya Mafuta yashuka zaidi Tanzania
10 years ago
Vijimambo14 Feb
Bei ya umeme yashuka kwa Sh8
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2623480/highRes/945486/-/maxw/600/-/vw8a3a/-/umeme_clip.jpg)
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imeliagiza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupunguza bei za umeme kwa Sh8 kuanzia Machi Mosi mwaka huu.Akitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi alisema kutokana na...