Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya petroli, dizeli yashuka

Bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli zimeshuka kuanzia leo. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza jana kuwa bei za rejareja zimepungua kwa Sh79 kwa lita ya petroli sawa na asilimia 4.01, dizeli Sh76 kwa lita sawa na asilimia 4.20 na mafuta ya taa Sh66 kwa lita sawa na asilimia 3.73.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mafuta ya petroli, dizeli bei juu

kaguo+titusGRACE SHITUNDU NA TUNU NASSOR,
DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya itakayoanza kutumika leo ambapo mafuta ya petroli na dizeli yamepanda huku mafuta ya taa yakishuka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Mawasiliano na Uhusiano EWURA, Titus Kaguo, alisema bei ya jumla na rejareja ya mafuta aina zote imebadilika ikilinganishwa na bei elekezi iliyotolewa Aprili, mwaka huu.
Alisema bei ya rejareja kwa mafuta ya petroli imeongezeka kwa Sh...

 

10 years ago

Mwananchi

Bei ya petroli yashuka tena

>Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imepunguza bei ya mafuta kwa mara nyingine katika kipindi cha miezi mitatu huku punguzo la sasa likitajwa kuwa ni la chini zaidi katika kipindi cha miaka sita

 

10 years ago

Habarileo

Kodi ya petroli, dizeli juu

Mauzo ya mafuta kabla ya bajeti ya mwaka huu. Kwa mujibu wa bajeti ya mwaka huu mafuta ya taa ndio yatakuwa ghali zaidi kuliko yote.SERIKALI imetangaza kuongeza tozo ya mafuta ya petroli na dizeli ili fedha zitakazopatikana, zikatunishe mfuko wa kusambaza nishati vijijini.

 

11 years ago

Habarileo

Ubora wa petroli, dizeli Tanzania ni wa juu -Ewura

TANZANIA inaongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na bidhaa bora zaidi ya mafuta ya petroli na dizeli yenye kiwango kidogo cha kemikali cha salfa na ifikapo Januari mwakani, ubora utaongezeka mara dufu.

 

9 years ago

Mwananchi

Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli

Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza kushuka kwa bei ya rejareja ya mafuta aina ya petroli ambapo kuanzia leo Desemba 2, petrol imeshuka kwa Sh28 kwa lita, sawa na asilimia 1.38, huku bei ya dizeli ikishuka kwa Sh56 kwa lita sawa na asilimia 2.96.

 

10 years ago

Mtanzania

Bei ya umeme yashuka

Pg 3Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushusha bei ya nishati ya umeme kwa watumiaji wakubwa wa majumbani wanaotumia zaidi ya uniti 75 kwa mwezi pamoja na viwanda vikubwa na vya kati.
Tangazo la kushushwa kwa bei ya nishati ya umeme limetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felex Ngamlagosi, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyikia jana ofisini kwake, Dar es Salaam.
Alisema punguzo hilo limezingatia gharama za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei ya mafuta yashuka zaidi

Bei ya mafuta yasiyosafishwa imeripotiwa kushuka zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei ya Mafuta yashuka zaidi Tanzania

Mamlaka ya udhibiti wa Nishati ,Maji na mafuta EWURA nchini Tanzania imetangaza punguzo la jingine la mafuta nchini

 

10 years ago

Vijimambo

Bei ya umeme yashuka kwa Sh8

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu bei ya umeme. Kulia ni Kaimu Mgurugenzi- Umeme, Injinia Godfrey Chibulunje. Picha na Anthony Siame
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imeliagiza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupunguza bei za umeme kwa Sh8 kuanzia Machi Mosi mwaka huu.Akitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi alisema kutokana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani