Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya umeme yashuka kwa Sh8

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu bei ya umeme. Kulia ni Kaimu Mgurugenzi- Umeme, Injinia Godfrey Chibulunje. Picha na Anthony Siame
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imeliagiza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupunguza bei za umeme kwa Sh8 kuanzia Machi Mosi mwaka huu.Akitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi alisema kutokana na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bei ya umeme yashuka

Pg 3Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushusha bei ya nishati ya umeme kwa watumiaji wakubwa wa majumbani wanaotumia zaidi ya uniti 75 kwa mwezi pamoja na viwanda vikubwa na vya kati.
Tangazo la kushushwa kwa bei ya nishati ya umeme limetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felex Ngamlagosi, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyikia jana ofisini kwake, Dar es Salaam.
Alisema punguzo hilo limezingatia gharama za...

 

10 years ago

Mwananchi

Bei ya petroli yashuka tena

>Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imepunguza bei ya mafuta kwa mara nyingine katika kipindi cha miezi mitatu huku punguzo la sasa likitajwa kuwa ni la chini zaidi katika kipindi cha miaka sita

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei ya mafuta yashuka zaidi

Bei ya mafuta yasiyosafishwa imeripotiwa kushuka zaidi.

 

9 years ago

Mwananchi

Bei ya petroli, dizeli yashuka

Bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli zimeshuka kuanzia leo. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza jana kuwa bei za rejareja zimepungua kwa Sh79 kwa lita ya petroli sawa na asilimia 4.01, dizeli Sh76 kwa lita sawa na asilimia 4.20 na mafuta ya taa Sh66 kwa lita sawa na asilimia 3.73.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei ya Mafuta yashuka zaidi Tanzania

Mamlaka ya udhibiti wa Nishati ,Maji na mafuta EWURA nchini Tanzania imetangaza punguzo la jingine la mafuta nchini

 

10 years ago

Michuzi

IPTL yashusha bei ya umeme kwa asilimia 20

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ikiwa chini ya uongozi wa kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP) imetangaza kufikia kwa punguzo la bei ya umeme la asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo huo ya masaa 36,000 ikifanya kazi, zoezi iliyokamilika ndani ya mwanka 2014. IPTL pia imetangaza kuwa bei yao ya umeme ikitarajiwa kushuka zaidi kulingana na kushuka kwa bei ya mafuta mazito. 
Marekebisho hayo yaliyotumia...

 

11 years ago

Michuzi

Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL

Hofu ya kupoteza soko kwa makampuni ya kigeni yanayozalisha umeme dhidi ya makampuni ya kitanzania imetajwa kuwa chanzo cha vita dhidi ya kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU

Na mwandshi wetu, KigomaSHIRIKA la umeme Tanesco kupitia idara ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma juu ya kuchangakia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii  imewafikia wanakijiji wa  vijiji vya Kigoma  ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...

 

10 years ago

Habarileo

Umeme washuka bei

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix NgamlagosiMAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeshusha kidogo bei ya umeme kuanzia Machi Mosi mwaka huu, huku ikisisitiza kwamba bei hiyo itaendelea kupungua zaidi mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam utakapoanza kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani