Bei ya umeme yashuka kwa Sh8
Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu bei ya umeme. Kulia ni Kaimu Mgurugenzi- Umeme, Injinia Godfrey Chibulunje. Picha na Anthony Siame
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imeliagiza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupunguza bei za umeme kwa Sh8 kuanzia Machi Mosi mwaka huu.Akitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi alisema kutokana na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Bei ya umeme yashuka
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushusha bei ya nishati ya umeme kwa watumiaji wakubwa wa majumbani wanaotumia zaidi ya uniti 75 kwa mwezi pamoja na viwanda vikubwa na vya kati.
Tangazo la kushushwa kwa bei ya nishati ya umeme limetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felex Ngamlagosi, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyikia jana ofisini kwake, Dar es Salaam.
Alisema punguzo hilo limezingatia gharama za...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Bei ya petroli yashuka tena
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Bei ya petroli, dizeli yashuka
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Bei ya Mafuta yashuka zaidi Tanzania
10 years ago
Michuzi05 Jan
IPTL yashusha bei ya umeme kwa asilimia 20
Marekebisho hayo yaliyotumia...
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jJrP9XILtDE/XvWlxJY9JVI/AAAAAAAAAH8/nrRU5ggDCloYApAZ9fDBcxd-vsRbmkELgCLcBGAsYHQ/s72-c/afisa2.jpg)
WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii imewafikia wanakijiji wa vijiji vya Kigoma ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...
10 years ago
Habarileo14 Feb
Umeme washuka bei
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeshusha kidogo bei ya umeme kuanzia Machi Mosi mwaka huu, huku ikisisitiza kwamba bei hiyo itaendelea kupungua zaidi mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam utakapoanza kazi.