Kodi ya petroli, dizeli juu
SERIKALI imetangaza kuongeza tozo ya mafuta ya petroli na dizeli ili fedha zitakazopatikana, zikatunishe mfuko wa kusambaza nishati vijijini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania06 May
Mafuta ya petroli, dizeli bei juu
GRACE SHITUNDU NA TUNU NASSOR,
DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya itakayoanza kutumika leo ambapo mafuta ya petroli na dizeli yamepanda huku mafuta ya taa yakishuka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Mawasiliano na Uhusiano EWURA, Titus Kaguo, alisema bei ya jumla na rejareja ya mafuta aina zote imebadilika ikilinganishwa na bei elekezi iliyotolewa Aprili, mwaka huu.
Alisema bei ya rejareja kwa mafuta ya petroli imeongezeka kwa Sh...
11 years ago
Habarileo21 May
Ubora wa petroli, dizeli Tanzania ni wa juu -Ewura
TANZANIA inaongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na bidhaa bora zaidi ya mafuta ya petroli na dizeli yenye kiwango kidogo cha kemikali cha salfa na ifikapo Januari mwakani, ubora utaongezeka mara dufu.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Bei ya petroli, dizeli yashuka
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Mafuta ya petroli bei juu
SERIKALI imependekeza kuongeza tozo ya mafuta ya petrol na dizeli kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 100 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh 50 kwa lita.
Akizungumzia kuhusu ongezeko hilo wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 bungeni mjini Dodoma jana, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema mafuta ya taa yanapaa kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 150 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la shilingi 100 kwa lita ili kuondoa uwezekano wa kuchakachua.
“Hatua ya kuongeza tozo ya mafuta ya petroli...
11 years ago
Mwananchi15 May
Bajeti SMZ kodi juu
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Kampuni zisizolipa kodi zajiwa juu
WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ameendelea kuzing’ang’ania kampuni zisizolipa kodi ambapo amewataka Watanzania waondokane na dhana kwamba wageni pekee ndio hawalipi kodi bali wapo hata wazawa wanaokwepa. Muhongo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8HHe3u_oFnw/Vo0RLo-zw8I/AAAAAAAIQ1U/OiOojRGqrxg/s72-c/New%2BPicture.png)
UFAFANUZI JUU YA UKAGUZI WA MATUMIZI YA MISAMAHA YA KODI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8HHe3u_oFnw/Vo0RLo-zw8I/AAAAAAAIQ1U/OiOojRGqrxg/s320/New%2BPicture.png)
ISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMAKumekuwa na upotoshwaji kuhusu zoezi la ufuatiliaji wa matumizi ya misamaha ya kodi inayosimamiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa wafanyabiashara, wawekezaji, Taasisi za Dini na Taasisi zisizo za kiserikali kwa maelezo kwamba TRA inazilenga baadhi ya Taasisi.
Sheria ya Mamlaka ya Mapato Tanzania inaipa Mamlaka ya kusimamia, kukagua na kuhakiki mapato ya Serikali pamoja na kuzuia ukwepaji wa kodi wa aina yoyote ile ikiwemo matumizi mabaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s72-c/1.jpg)
TRA YAWAPIGA MSASA CTI JUU YA SHERIA MPYA YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI YA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PzM5jTpPv2E/Vbtg074rkTI/AAAAAAAAtic/69G3CN58UAg/s640/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu