Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matokeo ya ligi ya mabingwa Ulaya, November 3

1446586392283_lc_galleryImage_Football_Manchester_Unite

Mechi za ligi ya mabingwa wa Ulaya ziliendelea tena usiku wa November 3. Kulikuwa na mechi katika viwanja vinane tofauti kwa michezo ya Kundi A, B, C na D kupigwa.

MATOKEO YA MECHI HIZO;

Shakhtar Donetsk 4-0 Malmo FF
B. Monchengladbach 1-1 Juventus
Benfica 2-1 Galatasaray
Real Madrid 1-0 Paris Saint-Germain
Sevilla 1-3 Manchester City
PSV 2-0 VfL Wolfsburg
Manchester United 1-0 CSKA Moscow
FC Astana 0-0 Atletico de Madrid

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo November 3

article-3300866-2E0A384000000578-957_636x412Ligi ya Mabingwa Ulaya itaendelea usiku wa Jumanne katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Baahi ya mechi hizo ni Real Madrid itaikaribisha Paris Saint-Germain katika dimba la Santiago Bernabeu, huku Man United ikiwa Old Trafford kumenyana na CSKA Moscow. Mechi za leo Jumanne Real Madrid v Paris St G 21:45 Man Utd v CSKA 21:45 Sevilla […]

 

9 years ago

Bongo5

Mechi za ligi ya mabingwa Ulaya leo November 4

article-3302491-2E151D7A00000578-688_636x382

Ligi ya Mabingwa inaendelea leo,November 4 katika viwanja mbalimbali timu ya Bayern Munich itawakaribisha Arsenal Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi F, Roma na Bayer 04 Leverkusen Uwanja wa Olimpico Kundi E, Chelsea na Dynamo Kyiv Uwanja wa Stamford Bridge Kundi G.
Mechi nyingine ni kati ya Maccabi Tel Aviv na FC Porto Uwanja wa Bloomfield Kundi G, Lyon na Zenit St Petersburg Uwanja wa Stade de Gerland Kundi H, KAA Gent na Valencia CF Uwanja wa Ghelamco Arena Kundi H, Olympiakos...

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za ligi ya mabingwa Ulaya

Mechi zingine za ligi ya mabingwa Ulaya kwa michezo ya Kundi E, F, G na H zimechezwa na haya ni matokeo ya mechi zote za September 16. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo

Champions-League

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German  

Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo  

GROUP B;

Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow

PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg     

GROUP C;

FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid  

Benfica 2 – 1 Galatasaray   

GROUP D;

Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus 

Sevilla 1 – 3 Manchester City 

Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA! michezo ya jana

gareth-bale-shakhtar-donetsk-real-madrid-champions-league_173pi72jkl69m1b0s8rwmfilt5

Wachaji wa shakhtar donetsk na Real-Madrid  wakichuana katika mchezo huo uliomalizika kwa Madrid kushinda bao 4-3.

Baada ya michezo 8 iliyochezwa siku ya jumanne, jana jumatano ligi ya Mabingwa Ulaya kwa vilabu maarufu kama UEFA Champion League iliendea kwa michezo 8 mingine.

Haya ndiyo matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA kwa michezo ya jumatano

GROUP: A

Shakhtar Donetsk 3 – 4 Real Madrid

Malmo 0 – 5 Paris Saint German

GROUP: B

Manchester United 0 – 0 PSV

CSKA Moscow 0 – 2 Wolfsburg

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za ligi ya mabingwa Ulaya, October 20

Michuano ya ligi ya mabingwa wa Ulaya imeendelea October 20 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa soka ni kati ya Arsenal dhidi ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari […]

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya Mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyo chezwa October 21

October 21 michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliendelea kwa michezo nane kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Mechi ambayo ilikuwa akitazamwa na wengi ni timu za Real Madrid na Paris Saint Germain. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya michezo ya ligi ya mabingwa Ulaya UEFA iliyochezwa jana Jumatano Novemba, 4

Champions League

GROUP E

Barcelona 3 – 0 Bate Borisov    

AS Roma 3 – 2 Bayer Leverkusen       

GROUP F

Bayern Munich 5 – 1 Arsenal      

Olympiakos 2– 1 Dinamo Zagreb        

GROUP G

Chelsea 2 – 1 Dynamo Kyiv       

Maccabi Tel Aviv 1 – 3 FC Porto          

GROUP H

Gent 1 –  0 Valencia                  

Lyon 0 –  2 Zenit St....

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za Europa Ligi November 5

3519

Matokeo ya mechi mbali mbali za UEFA EUROPA zilizochezwa usiku wa Alhamisi yako hapa.

3519

MATOKEO MECHI ZA UEFA EUROPA LEAGUE…
Rosenborg 0-2 Lazio
Athletic Club 5-1 Partizan Belgrade
Belenenses 0-2 FC Basel
Sparta Prague 1-1 FC Schalke 04
Tottenham Hotspur 2-1 RSC Anderlecht
St Etienne 3-0 Dnipro Dnipropetrovsk
Skenderbeu Korce 3-0 Sporting Lisbon
Lech Poznan 0-2 Fiorentina
Asteras Tripolis 2-0 APOEL Nicosia
Dinamo Minsk 1-2 Villarreal
Borussia Dortmund 4-0 FK Qabala
FK Krasnodar 2-1 PAOK...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani