HUWEZI KUTONGOZA? SIMU YAKO INAWEZA KUKUSAIDIA
![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUlNg8JktmQFp6ElSrvtpsm4uu1v5Nf1Cv8hFpMD86kg0RZs1QPOcs4Ubbzbw1Oroy37VUpdQr7qXmb4XrUi0BE/mahaba.jpg?width=650)
NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha tena nawe msomaji wangu katika busati la mashamsham. Ni siku nyingine nzuri tunapokutana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na leo, napenda kujadili na wewe msomaji wangu juu ya hili suala nililolitambulisha hapo juu. Maendeleo ya teknolojia yamebadilisha mambo mengi katika maisha yetu ya kila siku. Zamani ilikuwa kama kuna mwanamke au mwanaume unampenda, basi lazima...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huwezi kuendelea kufurahia harufu ya chips kuku yako huku umeshakula
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Michuzi14 Apr
msaada tutani: dada uliyepoteza simu JKT unatafutwa upewe simu yako
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qj1d2gS6qCLtMNdPeLEyVNVZsH5ecIlPdYHkpS4ZCEW9sihXVzpkeML4s6STkyY8vfOH-BKwZViTciYJwnzPVZF/mahaba.jpg?width=650)
UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO HAKIKISHAHUBANDUKI NJIA KUU
10 years ago
Bongo506 Nov
Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhyQIjXJpVOcjkhnHEoLW8KSxxSHRWvmJkxiXRZxEC8AbK1J3dB15wiopkA*93r*IkFmESchXCsr7FegrTqOHU/mahaba.jpg?width=650)
UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ijue vizuri simu yako ya mkononi
Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.
Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Uingereza na Marekani zinadukua simu yako
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Hatua za kuchukua unapoibiwa simu yako
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako
Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?
Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.
Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...