Uingereza na Marekani zinadukua simu yako
Wateja wa makampuni 450 za simu kote duniani wanadukuliwa na Marekani na Uingereza kulingana na ripoti iliyotambuliwa na Edward Snowden
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 Apr
msaada tutani: dada uliyepoteza simu JKT unatafutwa upewe simu yako
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Hatua za kuchukua unapoibiwa simu yako
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ijue vizuri simu yako ya mkononi
Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.
Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Unaathiriki vipi simu yako ikiisha nguvu
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako
Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?
Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.
Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUlNg8JktmQFp6ElSrvtpsm4uu1v5Nf1Cv8hFpMD86kg0RZs1QPOcs4Ubbzbw1Oroy37VUpdQr7qXmb4XrUi0BE/mahaba.jpg?width=650)
HUWEZI KUTONGOZA? SIMU YAKO INAWEZA KUKUSAIDIA
10 years ago
TZToday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/in-tz.png)
TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako
Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.
TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.
Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika m.tanzaniatoday.co.tz
sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
PoaApp hivi karibuni itakua kwenye simu yako
“PoaApp” ni application mpya ya kitanzania itakayokujia hivi karibuni kwenye simu yako. Kama mtumiaji, utakuwa na uwezo wa kuchati na marafiki zako na ndugu, kusikiliza nyimbo uzipendazo na utaweza kupata habari za kitaifa na kimataifa;vitu hivi utavipata bure kutoka “PoaApp”.
Kwa habari zaidi kutoka “PoaApp’’ tafadhali fuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kama;
*Facebook.com/PoaApp
*Twitter:@PoaApp
*Instagram:@PoaApp
Pia waweza kutembelea website yetu ya www.poaapp.co.tz ili uweze...