Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza na Marekani zinadukua simu yako

Wateja wa makampuni 450 za simu kote duniani wanadukuliwa na Marekani na Uingereza kulingana na ripoti iliyotambuliwa na Edward Snowden

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

msaada tutani: dada uliyepoteza simu JKT unatafutwa upewe simu yako

Nilimsaidia usafiri dada mmoja,siku ya ijumaa wiki jana, Dada huyo alikuwa anatokea maeneo ya Tuangoma kuelekea maeneo ya Keko.Nilimshusha JKT Mgulani. Bahati mbaya alisahau simu yake kwenye gari. Simu hiyo iliishiwa chaji muda mchache baada ya kuisahau kwenye gari langu. Mie nikaichukua na kuiweka  kwenye chaji kama masaa mawili hivi.  Nilipoiwasha nilikuta keshafunga kadi yake na sijaweza hata kutafuta namba za watu wanaomjua ili niwasiliane naye. Pia hata jina sikuwahi...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatua za kuchukua unapoibiwa simu yako

Kama una tabia ya kununua simu zilizotumika kutoka kwa watu au zile mpya barabarani na sio kwenye maduka, unashauriwa kuacha tabia hiyo mara moja kwa sababu inaweza kukuleta shida siku moja .

 

9 years ago

Dewji Blog

Ijue vizuri simu yako ya mkononi

Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.

Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unaathiriki vipi simu yako ikiisha nguvu

Matumizi ya simu aina ya smartphones zilizo na programmu nyingi husababisha nguvu za betri kupungua kwa kiwango kikubwa

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako

Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?

20150918_143620

Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.

Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...

 

11 years ago

GPL

HUWEZI KUTONGOZA? SIMU YAKO INAWEZA KUKUSAIDIA

NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha tena nawe msomaji wangu katika busati la mashamsham. Ni siku nyingine nzuri tunapokutana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na leo, napenda kujadili na wewe msomaji wangu juu ya hili suala nililolitambulisha hapo juu. Maendeleo ya teknolojia yamebadilisha mambo mengi katika maisha yetu ya kila siku. Zamani ilikuwa kama kuna mwanamke au mwanaume unampenda, basi lazima...

 

10 years ago

TZToday

TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako

Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.

TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.

Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika

m.tanzaniatoday.co.tz

sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.

 

 

9 years ago

Dewji Blog

PoaApp hivi karibuni itakua kwenye simu yako

magazine-artworka3

“PoaApp” ni application mpya ya kitanzania itakayokujia hivi karibuni kwenye simu yako. Kama mtumiaji, utakuwa na uwezo wa kuchati na marafiki zako na ndugu, kusikiliza nyimbo uzipendazo na utaweza kupata habari za kitaifa na kimataifa;vitu hivi utavipata bure kutoka “PoaApp”.

Kwa habari zaidi kutoka “PoaApp’’ tafadhali fuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kama;

*Facebook.com/PoaApp

*Twitter:@PoaApp

*Instagram:@PoaApp

Pia waweza kutembelea website yetu ya www.poaapp.co.tz ili uweze...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani