Meck Khalfan: Mtanzania aliyebuni charger za Puku zinazonunuliwa kama njugu duniani kote!!
Meck Khalfan Mbwana ni Mtanzania aliyezaliwa na kukulia Tanzania lakini kwenda Marekani kuendelea na masomo huko. Kutokana na kimbunga cha Sandy mwaka 2012 kilichoathiri wakazi wengi wa jijini New York akiwemo yeye mwenyewe aliamua kubuni kitu ambacho kingekuja kubadilisha maisha ya wengi katika teknolojia. Mbwana anasema wakati kimbunga hicho kinatokea, alikuwa na mtoto wa miezi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH4THt4GZubCIpnGFVqser2zwOoxatMGTsl9ju*ATUt86Zo52BZnDs7SmYCooqhae92n-ts6ZMqUfKjg9M0moA0d/futureciarabreakup.jpg?width=650)
MASTAA WA HIP HOP MAREKANI WANAVYOACHANA, KAMA NJUGU MAWE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
11 years ago
Habarileo11 Aug
‘Wanawake duniani kote hawapendi vita’
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema wanawake wote duniani hawapendi vita wala machafuko na hulilia amani kwani machafuko husababisha kutoweka kwa amani kuanzia ngazi ya familia na kuleta vifo vya watu wasio na hatia.
10 years ago
Bongo501 Nov
Kanye asimamisha taxi kupiga picha na paparazzi aliyevaa t-shirt iliyomvutia, t-shirt zanunuliwa kama njugu
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s72-c/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s1600/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s72-c/tzNIC2.png)
Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s640/tzNIC2.png)
Badala ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC