Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za kitanzania kuonekana popote duniani

Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye mtandao (Website).

Untitled

Huduma hiyo itawezesha wafanyabiashara wakubwa na wale wadogo kusajili maji na ya biashara zao kwenye kikoa cha Tanzania DotTZ (.tz) mfano.

Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Chef Issa aanzisha whatsapp group la Ma-Chef wa Kitanzania popote walipo duniani

Chef Issa ameanzisha group la Whatsapp kwa ajili ya Tanzanian chef's popote duniani ambalo anasema kama wewe ni Chef unaweza jiunga kwa kutuma request mobile No. +46709297384 Lengo likiwa ni kukutana,  kufahamiana,  na kusaidiana kitaaluma. Ma-Chef wote wa Kitanzania mnakaribishwa.

 

10 years ago

Michuzi

Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote

Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona. Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii  ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...

 

11 years ago

Michuzi

SMART CODES goes to the next level with award nomination

Smartcodes, a tech startup from Dar-es-Salaam has been nominated in the 2014 Awwwards from awwwards.com as one of the best websites. As the #1 pick from Tanzania, Smartcodes has been nominated on an international platform going against web development and tech companies from around the world.
About the nomination for best website
The Awwwards are judged by a jury and users from the site who also get a say in which nominees have the chance of winning. Smartcodes will be judged on criteria...

 

10 years ago

Michuzi

Bayport Tanzania yazindua huduma mpya ya Mikopo ya bidhaa

Na Andrew ChaleTaasisi ya kifedha ya Bayport Tanzania mapema leo Oktoba 15, 2014 imezindua huduma mpya ijulikanayo kama Mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wote wa kampuni zilizoidhinishwa na Bayport. Uzinduzi huo ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya Bayport, maeneo ya Moroco jijini Dar es Salaam mbele ya wandishi wa vyombo mbalimbali vya habari umeonyesha matumaini mapya ya watanzania wanaosumbukia usafiri katika vituo...

 

10 years ago

Michuzi

Smart Codes launches Revamped Website for their Agency

Tanzania’s leading digital marketing agency has revamped its new website at www.smartcodes.co.tz. 
The agency, which is based in Dar es Salaam, has worked on a wide variety of Tanzania’s leading brands in number of campaigns from developing its’ Digital Strategy to Creativity & Designing to Technology & Development.
To introduce what they do, SmartCodes released this video which is one of its kind and probably the first company profile video ever in Tanzania. 
See the video below YouTube link:...

 

9 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA TANZANIA UNESCO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITAFUTEAPP

Na Zainabu Hamis,Globu ya Jamii.TUME ya Taifa ya Tanzania UNESCO kupitia Dawati la Vijana imezindua huduma mpya ya Jamii iitwayo NitafuteApp.
Huduma hii inalenga kuwezesha Utafutaji,Utambuzi,Uokozi, Matibabu na Utoaji taarifa za watu waliopotea hususani Watoto,Wagonjwa wa Akili na Wahanga wa usafirishaji haramu wa binaadamu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Mtendaji Mkuu wa Huduma hiyo Trayphone Elias amesema kuwa faida zinazopatikana katika mtandao huo ni Kukuza matumizi...

 

10 years ago

Michuzi

Smart Codes Revamped website nominated for 2015 Awwwards again.

Smart Codes now a full service digital company has been nominated again in the 2015 Awwwards from awwwards.com as one the best website around the world.  www.smartcodes.co.tz  has been placed in a queue to appear as “Site of the Day”. If successful, it will also be included in Awwwards book "The Best 365 Websites Around The World" in 2015. The awwwards Team pointed out that, Smart Codes site will be fully checked and tested by their submission team, and then posted in their nominees section...

 

10 years ago

Dewji Blog

UAP Insurance Tanzania yazindua huduma zake mpya na tafrija fupi

DSC_1898Meneja madai wa kampuni ya Bima ya UAP Bw. Michael Emmanuel (kushoto) akiwa na  Ally Athumani Meneja Uandikishaji wa UAP wakati wa utambulisho wa huduma hizo mpya walizo zindua za UAP  JIKINGE  na  UAP FAMILY KINGA  (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar es Salaam). Kampuni ya Bima ya UAP   Tanzania,  wamekuja na huduma mpya  mbili za Bima kwa watu wote ambayo itaboresha maisha ya wateja wake ikiwemo katika huduma za matibabu mbalimbali nchini.

Huduma...

 

10 years ago

Bongo5

Big Brother Africa kuwasafirisha washiriki na maproducer popote pale nyumba mpya itakapopatikana ‘duniani’

M-Net na Endemol South Africa wamesema wanatafuta nyumba nyingine yenye kamera popote pale duniani, baada ya ile iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya kipindi cha Big Brother Afrika 2014 kuripotiwa kuungua mapema wiki hii. Msimu wa tisa wa Big Brother Afrika: Hotshots ambao umepangwa kuanza Jumapili hii (kama swala la moto sio stunt), ulitangazwa kuahirishwa kuzinduliwa kwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani